Naunga mkono hoja, hili ndilo kanisa Bwana wetu Yesu Kristu alimwambia Mtume Petro, "Wewe ni mwamba, na juu ya mwamba huu, nalijenga kanisa langu"
Hivyo Bwana Wetu Yesu Kristu aliacha Kanisa moja tuu, kanisa Kuu, Takatifu Katoliki la Mitume , ila siku hizi kuna makanisa mengi, vikanisa na vijikanisa, ila kanisa kwa maana ya kanisa, ni moja tuu, kanisa Katoliki.
Kuna Makanisa na Makanisa Kuanzia Makanisa,Vikanisa,Kikanisa na Vijikanisa!, Je Makanisa Yote Yanaweza Kufungiwa?au Vikanisa, Vijikanisa na Kikanisa?
Hili tumelisema humu
GE2025 - Kanisa Katoliki Tanzania: Mkombozi wa Kweli wa Taifa. Leo tumefunga Novena; Tunakesha na Kuomba, kuiombea Tanzania - A Very Powerful Prayer!
Na kwa taarifa yako, Rais wa JMT anapokuwa ni Mkristo ni lazima awe ni Mkatoliki, tena wengi msichokijua, msiwe na wasiwasi kabisa na urais wa Rais Samia, mimi nilielezwa alipewa kibali cha urais wa mpito tuu, lakini rais mwenyewe anayepaswa to run this country this time around, ni yule Mkatoliki!, but only if kama
HII sauti ni sauti ya kweli , then muda huo unakaribia kutimia!.
P