TANZIA Askofu Sarah Wega afariki kwa ajali ya bodaboda

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
25,447
Reaction score
46,208
Askofu wa Kanisa la The House of Prayer International Ministry, Kanda ya Songwe na muimbaji wa nyimbo za injili, Sarah Wega, amefariki dunia baada ya Pikipiki (bodaboda) aliyokuwa akisafiria kupata ajali ya kugongwa na lori iliyotokea Machi 16, 2026 katika eneo la Chapwa, Wilaya ya Momba mkoani Songwe.

 
RIP PASTOR
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…