Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 25,447
- 46,208
Mavi yakiwa kichwani utasema mavi.Uskute huyo dereva boda alikua bwana wake
Sio kweliUskute huyo dereva boda alikua bwana wake
Hapana utasema kimbaMavi yakiwa kichwani utasema mavi.
Amesema na ...kugongwa na Loriboda ndo imekatisha uhai au lori?
Vingi sana mkuu.Bodaboda zinasababisha vifo vingi sana.
headline ya nipashe wameandikaje?Amesema na ...kugongwa na Lori
Kugongwa na loriheadline ya nipashe wameandikaje?
50/50 soon watataka mpaka kutungishana mimbaHaya mambo ya Mwanamke kuwa Askofu siyakubali kabisa.
Akajibu kwa Mungu sasa ni maandiko yapi yalimruhusu awe askofu.
Haya makanisa yanayojiita ya "Kiroho" wana mambo ya ajabu sana.50/50 soon watataka mpaka kutungishana mimba
Hakikisha haudondokiUsafiri wa bodaboda siyo wa kuaminika hata kidogo.
Akili za bodaboda wanazijue wenyewe. Japo kuna wakati madereva wa magari wanaweza kuwa ndiyo wamesababisha ajali, lakini boda nao ni wabishi sana.Bodaboda zinasababisha vifo vingi sana.
RIP PASTORAskofu wa Kanisa la The House of Prayer International Ministry, Kanda ya Songwe na muimbaji wa nyimbo za injili, Sarah Wega, amefariki dunia baada ya Pikipiki (bodaboda) aliyokuwa akisafiria kupata ajali ya kugongwa na lori iliyotokea Machi 16, 2026 katika eneo la Chapwa, Wilaya ya Momba mkoani Songwe.
View attachment 3559095