TANZIA Askofu Sarah Wega afariki kwa ajali ya bodaboda

TANZIA Askofu Sarah Wega afariki kwa ajali ya bodaboda

haya madudue wakati yanaletwa kwa wingi, hakukua na mkakati wa kuyacontrol,
Walikosea tokea mwanzo
Washachelewa
Washapewa sana elimu ila ndy hivyo,
Sema ukiwa kwenye boda mwili wako ndy body

Ova
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Walikosea tokea mwanzo
Washachelewa
Washapewa sana elimu ila ndy hivyo,
Sema ukiwa kwenye boda mwili wako ndy body

Ova
boda wanaoendesha vizuri ni wachache sana
 
Malawi wameweza kuwadhibiti bodaboda,kwanza hakuna usajili, kuanzia Kasumulu hadi unaingia Limbe-Blantyre pikipiki zenye usajili wa Tanzania zimejaa,sasa mwenye pikipiki akigongana na bodaboda mwenzie hakuna kesi, gari akigonga boda trafiki wana waambia malizaneni.
Sasa bodaboda sababisha ajali,utajilaumu kwanini haukufia kwenye ajali...
pale kwa kagame napo huwa wanasema sheria inafatwa sana
 
Askofu wa Kanisa la The House of Prayer International Ministry, Kanda ya Songwe na muimbaji wa nyimbo za injili, Sarah Wega, amefariki dunia baada ya Pikipiki (bodaboda) aliyokuwa akisafiria kupata ajali ya kugongwa na lori iliyotokea Machi 16, 2026 katika eneo la Chapwa, Wilaya ya Momba mkoani Songwe.

View attachment 3559095
Matapeli wa kidini hao!
 
pale kwa kagame napo huwa wanasema sheria inafatwa sana
Tanzania tatizo kubwa lililopo ni kuwa bodaboda umekuwa mtaji wa vyama vya siasa na wapo kwenye mfumo wa serikali kimapato,wenzetu hawana habari kabisa na bodaboda. Hata bei za pikipiki hawa wenzetu zipo chini sana,sijaona pikipiki inazidi 2,000,000 hata iwe Yamaha ya Kijapan.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Askofu wa Kanisa la The House of Prayer International Ministry, Kanda ya Songwe na muimbaji wa nyimbo za injili, Sarah Wega, amefariki dunia baada ya Pikipiki (bodaboda) aliyokuwa akisafiria kupata ajali ya kugongwa na lori iliyotokea Machi 16, 2026 katika eneo la Chapwa, Wilaya ya Momba mkoani Songwe.

View attachment 3559095
Askofu halafu muimbaji.. Askofu!
 
Pole kwa wafiwa. Hiyo barabara ya Mbeya - Tunduma ni death trap. Kifo nje nje. Sema mwanamke kuwa Askofu inafanya majamaa wa dini ya MNYAAZ wajichukulie point 3 kilaini.
 
Tanzania tatizo kubwa lililopo ni kuwa bodaboda umekuwa mtaji wa vyama vya siasa na wapo kwenye mfumo wa serikali kimapato,wenzetu hawana habari kabisa na bodaboda. Hata bei za pikipiki hawa wenzetu zipo chini sana,sijaona pikipiki inazidi 2,000,000 hata iwe Yamaha ya Kijapan.
hapa kwetu hata ukikaa na matrafki ukipiga nao story suala la kucontrol boda hakuna majibu ya kueleweka,

boda hata wao wenyewe wameshindwa kushauriana wao wenyewe wafate sheria hata zile basic tu
 
Kwani wapi nilizema cousin wangu anaweza kuepuka kifo?

Are you high or something? Una ugonjwa wa kuathiri fikra zako?
😄
Aise boda nlipanda kwa mara kwanza nlipokuwa kampala kitambo sana hapo tz bado hazijaingia
Kwa sana maana ug ndiyo kama kwa east Africa zilianza kwa kasi,nanhuko ilikuwa mshikemshike
Zilipoingia bongo kwwa kasi
Bila kuziwekea rules&regulation hapo walikosea
Maana zamani zlikuwa zinakuja pikipiki kama pikipiki, badaye wakawa wana zileta na kuzi assemble
Egypt Kuna pikipiki nyingi kuliko bongo lkn ajali ni chache
Boda anajifunza leo kesho tu anaingia road
Hawai viatu,wanavaa ndara hawavai helmet na wakivaa helmet zenyewe hazina ubora
Kingine barabara zetu hazina motorcycle lanes kama kwa wenzetu

Ova
 
Back
Top Bottom