TANZIA Askofu Sarah Wega afariki kwa ajali ya bodaboda

TANZIA Askofu Sarah Wega afariki kwa ajali ya bodaboda

Akili za bodaboda wanazijue wenyewe. Japo kuna wakati madereva wa magari wanaweza kuwa ndiyo wamesababisha ajali, lakini boda nao ni wabishi sana.
Hivi karibuni nimeshuhudia bodaboda zinagongana mbele yangu mara nne tofauti. Wanagongana kwa mwendo ule ule. Yaani u ashangaa tu watu wamezagaa barabarani maanake wanakuwa wamebebama eatatu watau. Huwa inanichukua sekunde kadhaa kujua nini kimetokea.
 
Katika harakati za kuwahi boda akafika eneo bajaji zimefunga njia zinashusha abiria upande wa barabara...na nyuma yetu mataa yameruhusu basi magari yanavuka Kwa speed hatari kuwahi kabla taa nyekundu haijawazuia.kulikuwa na tipa linakuja speed Kali na bodà anafanya maamuzi.namshukuru Kwa utulivu.pia tipa alikuwa anapiga honi mfululizo kuwapa warning wanaotaka kuingia upande wa kulia waendelee na safari
Lilinipita usawa wa rula tu hivi tairi la tipa nkaliona hivi
Angesogea hata inchi Moja tu tungekanyagwa
Shida hawa viumbe Wana haraka,na zile kushito kulia zinawapa wenge inafikia wanakosa utulivu akilini.anaangalia kushito anaingia kulia mnazolewa
 
Ukidondoka tu kwenye road na boda basi mara nyingi lazima ufe, ni aidha spidi iwaue au mgongwe na gari au muingie mtaroni...usafiri guard ni wewe mwenyewe ni hatari Kwa mazingira ya mjini...siku hizi vijana wengi ambao akili zao hazipo stable ndo wanaendesha boda tofauti na Kipindi cha nyuma nakumbuka DSM ilikuwa na boda watu wazima halafu wastaarabu but sasahivi Kila boda ana haraka.
 
Kwani bodaboda Sio mtu?
Kuna bodaboda wana akili kuliko baadhi ya wakuu wa mikoa. Hawajapata fursa tu.
Fursa ya nini tena kwa bodaboda,wakati kuwa bodaboda tu wao wanaita fursa
 
haya madudue wakati yanaletwa kwa wingi, hakukua na mkakati wa kuyacontrol,
Malawi wameweza kuwadhibiti bodaboda,kwanza hakuna usajili, kuanzia Kasumulu hadi unaingia Limbe-Blantyre pikipiki zenye usajili wa Tanzania zimejaa,sasa mwenye pikipiki akigongana na bodaboda mwenzie hakuna kesi, gari akigonga boda trafiki wana waambia malizaneni.
Sasa bodaboda sababisha ajali,utajilaumu kwanini haukufia kwenye ajali...
 
Back
Top Bottom