TANZIA Askofu Sarah Wega afariki kwa ajali ya bodaboda

TANZIA Askofu Sarah Wega afariki kwa ajali ya bodaboda

hapa kwetu hata ukikaa na matrafki ukipiga nao story suala la kucontrol boda hakuna majibu ya kueleweka,

boda hata wao wenyewe wameshindwa kushauriana wao wenyewe wafate sheria hata zile basic tu
Wamewachoka

Ova
 
  • Thanks
Reactions: Lax
CHADEMA mkiingia madarakani pigeni marufuku bodaboda na kama ni lazima ziwepo basi wadhibitiwe kwa nguvu kubwa mno, hawa wanasabishia hili Taifa hasara kubwa kuliko faida
Sahihi kabisa. Kiukweli bodaboda hazikutakiwa kuwa ajira, ni basi tu zilipoibuka CCM wakaona ni fursa ya kupumua kidogo kwenye kelele za ajira, wakafungua milango zijae barabarani.
 
😄
Aise boda nlipanda kwa mara kwanza nlipokuwa kampala kitambo sana hapo tz bado hazijaingia
Kwa sana maana ug ndiyo kama kwa east Africa zilianza kwa kasi,nanhuko ilikuwa mshikemshike
Zilipoingia bongo kwwa kasi
Bila kuziwekea rules&regulation hapo walikosea
Maana zamani zlikuwa zinakuja pikipiki kama pikipiki, badaye wakawa wana zileta na kuzi assemble
Egypt Kuna pikipiki nyingi kuliko bongo lkn ajali ni chache
Boda anajifunza leo kesho tu anaingia road
Hawai viatu,wanavaa ndara hawavai helmet na wakivaa helmet zenyewe hazina ubora
Kingine barabara zetu hazina motorcycle lanes kama kwa wenzetu

Ova
Yeah nilizikuta Kampala mwaka 2000 nafikiri.

A terrible plague.
 
What mnawaza unzinzi tu kila muda. Wtf bro? Behave basi hata heshima kidogo kwa marehem?
Hichi kizazi kinaenda kuwa Cha hovyo kuwahi kutokea na umaskini wa kutisha maana mawazo ya vijana wengi wa Sasa ni ngono tu mawazo chanya hakuna
 
Eti askofu. Askofu anasafiri na bodaboda! Self proclaimed Bishops.
Tena Mwanamke, wti ni Bishop!

All in Rest in Peace Bishop
 
Eti askofu. Askofu anasafiri na bodaboda! Self proclaimed Bishops.
Tena Mwanamke, wti ni Bishop!

All in Rest in Peace Bishop
Wakiomba gari mnaponda WANATAKA sadaka zenu wakifa Kwa ajali mnaona ni mafala
 
Back
Top Bottom