Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,909
- 33,485
Ulitaka wafie kanisani?? Mkuu hivi ujinga ukijaa kwenye ujazo wa gunia kwa neno moja unaitwaji?Hakuna rekodi yeyote ya kifo kwa nyumba za dini ambazo hazikusitisha ibada
Mwanzoni niliogopa kidogo hizo comments zako lakini nilifarijika baada ya kuona jina lako mkuu.Hakuna rekodi yeyote ya kifo kwa nyumba za dini ambazo hazikusitisha ibada
Marekani inafanana kidogo sana na sisi. Trump alijaribu umagufuli, ukamshinda maana kule wajanja wengi, huwezi kuzuia data. Lockdown ilitumika, maambukizi sasa yanashuka ndo wanaachia taratibu.Kila siku mnahitaja Brazil! Mbona nchi zilizokuwa na lockdown Kama US Ina vifo vya kutisha huzitaji?
Jamaa hakukosea kujiita "Bia yetu". Full time kalewa. Ila kwake yeye, "Bia" inaweza kuwa sio tu Serengeti Laiti au Safari, bali pia Kangara, Kimpumu, Komoni, Kindi, Muyakaya , Rubisi, gongo, pingu, nk.Mwanzoni niliogopa kidogo hizo comments zako lakini nilifarijika baada ya kuona jina lako mkuu.