Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Mpaka JWTZ itakuwa wanaogopa ku coorperate na chademaHaifai jeshi hili kuendelea kuitwa jeshi la polisi. Jina lake libadilishwe, liitwe "Kikosi cha kupambana na chadema (KIKUCHA)"
Mpaka JWTZ itakuwa wanaogopa ku coorperate na chademaHaifai jeshi hili kuendelea kuitwa jeshi la polisi. Jina lake libadilishwe, liitwe "Kikosi cha kupambana na chadema (KIKUCHA)"
Hapana unamkosea heshima huyo Askofu ni mtu mkubwa Sana katika Nchi hii laiti ungekua inamjua vizuri basi ungemheshimu Sana.Ni Jasusi mkubwa Sana hivo kuanzia Leo inabidi umuheshimu.Uyo askofu Ni msenge tuu
Hatushangai maana unatumia makalio kufikilia.Uyo askofu Ni msenge tuu
Ituharibia image ya chama chetu, CCM haitukani wakuu wa dini - hiyo laana ni ya kwako wewe, wazazi wako na wanao.Uyo askofu Ni msenge tuu
GoodBAADA YA WANAWAKE WA CHADEMA KUACHIWA, SISI VIONGOZI WA DINI TUMESITISHA SAFARI YA KWENDA MBWENI NA KWENDA KUMUONA IGP SIRRO!
Jumapili tulitangaza kuwa kama siku ya Jumatatu Jeshi la Polisi lisingeliwaachia viongozi wa CHADEMA 7 na Waandishi wa Habari 2 waliokuwa
Siku ikifika zamu yake ndiyo akili itakaa vizuriHatushangai maana unatumia makalio kufikilia.
Sijawahi kuona utoko kama weweAcha uwongo wako, mtu mzima ovyoo sana wenzenu kina maria sarungi wana tengeneza michuzi hawa sura zimewapa ukaa jua!
msidanganyike
Eeeen Heeee Heeeee! Wacha nicheke!Acha uwongo wako, mtu mzima ovyoo sana wenzenu kina maria sarungi wana tengeneza michuzi hawa sura zimewapa ukaa jua!
msidanganyike
Ndiyo walikuwa wajogi na madela hayo🤣BAADA YA WANAWAKE WA CHADEMA KUACHIWA, SISI VIONGOZI WA DINI TUMESITISHA SAFARI YA KWENDA MBWENI NA KWENDA KUMUONA IGP SIRRO!
Jumapili tulitangaza kuwa kama siku ya Jumatatu Jeshi la Polisi lisingeliwaachia viongozi wa CHADEMA 7 na Waandishi wa Habari 2 waliokuwa wanashikiliwa katika Kituo cha Polisi Mbweni - Dar es Salaam, sisi Askofu Mwamakula pamoja na viongozi wengine wa dini tungelifika kituoni hapo siku ya Jumanne kwa ajili ya kuwaona. Baadaye tungeliujulisha umma na dunia kwa ujumla.
Baada ya azimio letu, Viongozi wa Dini kupitia Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashehe kuhusu Maadili, Amani na Haki, Askofu William Mwamalanga walitoa tamko kutuunga mkono na kuahidi kuungana pamoja nasi kwenda Mbweni na pia kumuona IGP Simon Sirro. Usiku wa Jumatatu tumepewa taarifa kuwa viongozi hao waliachiwa wote Jumatatu jioni.
Baada ya taarifa hiyo, sisi Askofu Mwamakula tunatangaza kusitisha safari yetu pamoja na viongozi wa dini tuliyopanga kwenda Kituo cha Polisi Mbweni siku ya Jumanne. Tunatangaza pia kuahirisha safari ya kumuona IGP Sirro. Tutashauriana kuhusu kupanga siku nyingine ya kuonana na IGP Sirro kuhusiana na mambo yanayoendelea nchini yakiwemo ya kunyanyasa wanaharakati na wanasiasa wa upinzani kunakofanywa na Jeshi la Polisi.
Tunapenda kuwashukuru wote walioshiriki kusambaza ujumbe wetu, walioshiriki kupaza sauti kwa njia mbalimbali na waliokuwa tayari kutuunga mkono kwa kutaka kutusindikiza sisi viongozi wa dini. Pamoja na kutiwa moyo na hatua ya Jeshi la Polisi kutokana na kusikia kelele za umma na kuamua kuwaachia, tunaendelea kutoa wito kwa Jeshi la Polisi kutokuwasumbua kwa lo lote viongozi hao kuhusiana na kukamatwa kwao.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 1963149