Askofu Malasusa na Waraka wa Leo

Askofu Malasusa na Waraka wa Leo

CCM kila mahali inaingia na kuvuruga, Bungeni, Mahakamani, Vyombo vya Habari, Imani za Dini.

Huyu Malasusa sijui wamemlisha nini hadi anapingana na Maaskofu wenzake na kuleta mgawanyiko kwenye Kanisa.
Wanataka kututawaka
 
Nimemkumbuka tu shekhe mkuu wa mkoa wa dsm ; akionekana tu kwenye shughuli za kiserikali watu wanamkashifu ila maaskofu wameandika waraka kwakua wanaona ni mambo wanayotaka kuyasikia basi wanashangilia
 
Malasusa anatumika na serikali kufifisha mapambano ya kudai haki na usawa dhidi ya wanyonge wa nchi hii kupitia Kanisa ambalo ndio wajibu wake
Kanisa ni madhabahu ya Mungu muumbaji , si mahali pa maneno ya blah blah ya kisiasa .Kanisani haki inapatikana kwa Mungu , siasa haki inapatikana kwa mtu,. Kamanda shoo aache kuingiza mambo ambayo si maagizo ya mwenyezi Mungu kanisani.
 
Maaskofu na mashehe wameshindwa kukemea na kuwakumbusha waumini wao kwa machafu yanayo fanywa, vijana NA wasichana wanaiga tabia chafu NA wanaishi nje ya malezi ya kidini NA mila zetu. Uzinifu umekuwa fashion, utumiaji wa madawa ya kulevya NA unywaji wa pombe unekuwa fahari. Wasichana wadogo wanapewa mimba NA kutelekezwa. Viongozi wa dini wengine pia wanashiriki katika usharati, NA wengine wameyafanya makanisa NA misikiti kama kitego chao biashara na kujilimbikizia mali. Wanakingiana NA mbona hatuwaoni wakiwaandika waraka viongozi wa dini wachafu. Waache double standard
 
Inaelekea hujui kutofaitisha siasa na haki. Askofu Tutu hakuwa mwanasiasa tulimkumbatia kwa sababu alikuwa akipigania haki za wananchi, askofu hatakiwi kusubiri maiti kanisani kisha aseme mungu amempenda zaidi marehemu, anatakiwa kuzuia kwa kukemea.
Madhabahu ya Mungu , haitumiki kudai haki kwa nguvu , wala blah blah , haki kanisani inatoka kwa Mungu , kwa maombi na unyenyekevu , si kwa nyaraka.
 
Malasusa kama aliweza kupokea amri toka kwa Makonda hadi akafikia kutamba kuwa "katika Mkoa wangu hakuna cha waraka wala matamko" alikubali kudhalilisha kanisa hivyo asiendelee kuwayumbisha waumini
hajayumbisha muumini yeyote . kwa kua zile nyaraka hazihusiani na maneno ya Mungu , bali ni maneno ya binadamu
 
Askofu Malasusa ni msariti km Yuda, hapaswi kuonewa aibu, ni lzma aombe radhi km yule wa Mtwara, asilete kiburi ndani ya kanisa kwani Kiburi ni dhambi kubwa! Mwenye Akili timamu, alimwona Askofu Malasusa ni msariti pale alipokwenda Airport. Viongozi wa Dini wanapaswa kuwa makini na kujiepusha na mitego ya wanasiasa maana hawa watu wana hira mbaya, viganja vyao vya mikono vimejaa damu za watu wasiyo na hatia! Ninawashangaa viongozi wa Dini wanaojiweka karibu na Utawala huu uliojaa dhambi ya utekaji wa watu na uuwaji wa watu wa Mungu wasiyo na hatia. Ukiona Kiongozi wa Dini anauunga mkono utawala huu basi ni mmoja wao ktk kumwaga Damu ya watu wasiyo na hatia! Kiongozi mwenye Roho ya ki-Mungu hawezi kuchangamana na waovu wa aina hii
Mwenye utimamu wa akili ni anaemuona kamanda shoo kavaa gwanda ndani ya kanisa. Na akafurahia ? Au anayetaka kumuona Askofu shoo kavaa kofia na fimbo ya uchungaji mwema wa kondoo wa Mungu?
 
Askofu Malasusa ni msariti km Yuda, hapaswi kuonewa aibu, ni lzma aombe radhi km yule wa Mtwara, asilete kiburi ndani ya kanisa kwani Kiburi ni dhambi kubwa! Mwenye Akili timamu, alimwona Askofu Malasusa ni msariti pale alipokwenda Airport. Viongozi wa Dini wanapaswa kuwa makini na kujiepusha na mitego ya wanasiasa maana hawa watu wana hira mbaya, viganja vyao vya mikono vimejaa damu za watu wasiyo na hatia! Ninawashangaa viongozi wa Dini wanaojiweka karibu na Utawala huu uliojaa dhambi ya utekaji wa watu na uuwaji wa watu wa Mungu wasiyo na hatia. Ukiona Kiongozi wa Dini anauunga mkono utawala huu basi ni mmoja wao ktk kumwaga Damu ya watu wasiyo na hatia! Kiongozi mwenye Roho ya ki-Mungu hawezi kuchangamana na waovu wa aina hii
Wewe ni mmoja wao wanaomwaga dami
 
Una ushahidi au unajiropokea tu ili uonekane nawe upo? Jifunze kuwaheshimu viongozi wa kiroho kwani wao ndio chaguo la Mungu na sio hao wanasiasa unaowaabudu na kuwatukuza! Isitoshe askofu unayemtuhumu hakuuandika waraka ule akiwa chumbani kwake bali walikubaliana maaskofu wote. Mpe heshima yake na muombe msamaha!
Hujui kilichotekea ukae kimya
 
Nimetoke kumchukia dr. Shoo sijui kwanini, wachaga ni eatu wa ajabu sana! Yani yeye analeta u Lowasa wake katika kanisa?
 
Leo kwenye makanisa yote ya KKKT mashariki na pwani umesomwa waraka ambao ni kama umemsafisha Askofu Malasusa na wakati huohuo kama halmashauri kuu imekiri kuwa alichofanya Malasusa ni kosa.

Sasa najiuliza kwanini Askofu hakuwaomba radhi tu Maaskofu wenzake badala ya kuendelea na misimamo ambayo itazidi kuligawa kanisa.

Kama amekiri kuwa haikuwa lengo la Dayosisi kuzuia waraka ule, why now wanakuwa kama wanawaomba waumini msamaha?

Hili jambo Dayosisi waliangalie kwa umakini.
Kwani askofu anawatumikia maaskofu wenzake au waumini?sisi na Malasusa tu hao wengine waendelea na huo waraka wao
 
Inaelekea hujui kutofaitisha siasa na haki. Askofu Tutu hakuwa mwanasiasa tulimkumbatia kwa sababu alikuwa akipigania haki za wananchi, askofu hatakiwi kusubiri maiti kanisani kisha aseme mungu amempenda zaidi marehemu, anatakiwa kuzuia kwa kukemea.
Acha uongo au uwezo wako wa kulinganisha mambo u butu,wewe unafananisha nchi huru ya Tanzania na Afrika Kusini chini ya makaburu,unachofananisha ni kama unafananisha Dona na mchele super Basmat
 
Dr Shoo ni mtu hatari sana
Ukamanda wake unatishia kuligawa hilo kanisa
Haligawiki , fikiria walioguswa na madhira jinsi walivyofarijika. Nani atamuunga mkono malasusa asiyetaka jambo la lisu, axory kuhama vyama Ben lisiongelewe?. Kifupi malasusa ndio kawaumiza sana waumimi siku moja ataljua hilo.
 
Back
Top Bottom