Kungu Kayuki
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 351
- 205
Wekeni waraka alougomea Malasusa tuuone msitupigie domo kaya ili tuchangie vizuri
Kuna baadhi ya watu bado wanadhani huko makanisani bado kuna waumini wapiga makofi watupu kwa kila jambo watakalo leta!Nilikuwa kanisa la KKKT Usharika wa Kariakoo leo ujumbe hajapokelewa positively....baada ya waraka kusomwa washarika walikuwa kimya tu na Mchungaji akaendelea na mambo mengine
...na ccm imemunua Malasusa so ngoma Droondie alienunuliwa na chadema kuandika waraka wa kisiasa , na kushinikiza usomwe kanisani , wakati kanisa ni madhabahu ya Mungu.
Mkuu lazima usifie kila kitu?Hawa maaskofu bhana walitaka kumpindua malasusa!!hongera halmashauri kuu kwa hekima
Hapo jua kuwa Waumini WAMEUPOKEANilikuwa kanisa la KKKT Usharika wa Kariakoo leo ujumbe hajapokelewa positively....baada ya waraka kusomwa washarika walikuwa kimya tu na Mchungaji akaendelea na mambo mengine
UchocheziLeo kwenye makanisa yote ya KKKT mashariki na pwani umesomwa waraka ambao ni kama umemsafisha Askofu Malasusa na wakati huohuo kama halmashauri kuu imekiri kuwa alichofanya Malasusa ni kosa.
Sasa najiuliza kwanini Askofu hakuwaomba radhi tu Maaskofu wenzake badala ya kuendelea na misimamo ambayo itazidi kuligawa kanisa.
Kama amekiri kuwa haikuwa lengo la Dayosisi kuzuia waraka ule, why now wanakuwa kama wanawaomba waumini msamaha?
Hili jambo Dayosisi waliangalie kwa umakini.
kwa hiyo maaskofu wetu ndo wameamua kupambana ili walutheri tuondokane na unyonge?Malasusa anatumika na serikali kufifisha mapambano ya kudai haki na usawa dhidi ya wanyonge wa nchi hii kupitia Kanisa ambalo ndio wajibu wake
Hivi maneno ya Mungu ni yepi na ya binadamu ni yepi ndani ya kanisa? Au asemaye utawala huu mbovu was Magu ni binadamu bali asifiaye ndio amasema maneno ya Mungu?hajayumbisha muumini yeyote . kwa kua zile nyaraka hazihusiani na maneno ya Mungu , bali ni maneno ya binadamu
Zaka za wauza ngada zimetoweka makanisani, Mambo hayaendi!Inaelekea hujui kutofaitisha siasa na haki. Askofu Tutu hakuwa mwanasiasa tulimkumbatia kwa sababu alikuwa akipigania haki za wananchi, askofu hatakiwi kusubiri maiti kanisani kisha aseme mungu amempenda zaidi marehemu, anatakiwa kuzuia kwa kukemea.
Maneno ya Mungu yapo, kwenye vitabu vitakatifu vya Mungu , sio kwenye nyaraka za vibarazani ufipaHivi maneno ya Mungu ni yepi na ya binadamu ni yepi ndani ya kanisa? Au asemaye utawala huu mbovu was Magu ni binadamu bali asifiaye ndio amasema maneno ya Mungu?
ha ha haZaka za wauza ngada zimetoweka makanisani, Mambo hayaendi!
Inabidi Lowassa aingilie kati kuokoa jahazi kwa kuwamwagia pesa maana njaa ndo inawagombanisha wanatumia njia mbadala eti waraka kumbe hakuna loloteWenye hoja ni hao viongozi tena wa kiroho wanaolumbana
nakama shoo aliweza kupokea amri kwa chadema ili kuingiza siasa ktk kkktMalasusa kama aliweza kupokea amri toka kwa Makonda hadi akafikia kutamba kuwa "katika Mkoa wangu hakuna cha waraka wala matamko" alikubali kudhalilisha kanisa hivyo asiendelee kuwayumbisha waumini
Kama chadomo wanasifia kila kitu kinachotoka ufipaMkuu lazima usifie kila kitu?
KKKT haina namna nyingine isipokuwa kuondokana na wale wote wenye harufu ya kisaliti.Leo kwenye makanisa yote ya KKKT mashariki na pwani umesomwa waraka ambao ni kama umemsafisha Askofu Malasusa na wakati huohuo kama halmashauri kuu imekiri kuwa alichofanya Malasusa ni kosa.
Sasa najiuliza kwanini Askofu hakuwaomba radhi tu Maaskofu wenzake badala ya kuendelea na misimamo ambayo itazidi kuligawa kanisa.
Kama amekiri kuwa haikuwa lengo la Dayosisi kuzuia waraka ule, why now wanakuwa kama wanawaomba waumini msamaha?
Hili jambo Dayosisi waliangalie kwa umakini.
Askofu Malasusa anasimamia neno la Mungu....na ccm imemunua Malasusa so ngoma Droo
KKKT NI ZAO LA USALITI NA MSALITI HATAKUWA SALAMA KAMWELeo kwenye makanisa yote ya KKKT mashariki na pwani umesomwa waraka ambao ni kama umemsafisha Askofu Malasusa na wakati huohuo kama halmashauri kuu imekiri kuwa alichofanya Malasusa ni kosa.
Sasa najiuliza kwanini Askofu hakuwaomba radhi tu Maaskofu wenzake badala ya kuendelea na misimamo ambayo itazidi kuligawa kanisa.
Kama amekiri kuwa haikuwa lengo la Dayosisi kuzuia waraka ule, why now wanakuwa kama wanawaomba waumini msamaha?
Hili jambo Dayosisi waliangalie kwa umakini.
Kanisani ni mahali patakatifu , pa kuhubiri neno la Mungu , sio pa maongezi ya watu na matakwa yao binafsiHaligawiki , fikiria walioguswa na madhira jinsi walivyofarijika. Nani atamuunga mkono malasusa asiyetaka jambo la lisu, axory kuhama vyama Ben lisiongelewe?. Kifupi malasusa ndio kawaumiza sana waumimi siku moja ataljua hilo.