Askofu Kilaini kuendelea kuwa Askofu Msaidizi

Ombi langu kwenu kemeeni vitendo vya kilawiti na ubakaji wa watot ,bint angu Ni mroma Catholic huku mm baba ake nikiwa mfuasi wa nabii fln HV sin shida na mwanagu kuamua kubaki kuwa mkatoliki Ila hofu yangu ni juu ya usalama wake naogopa mno mkp juzi nilivyo ona hbr kule Moshi kuhisu padri sosntenes nikamuambia abadili au achane na ukatoliki ila mam ake amenijia juu san as if kwaba ni dhammbi kuama dhehebu Hilo

Ofu kubwa sna ninayo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huyu ni Senior Askofu wa Roman Catholic toka akiwa Dsm hadi sasa hivi bado ni Askofu Msaidizi huko Jimbo Catholic Bukoba!

Na leo Catholic wametoa waraka kwamba Askofu wa Jimbo Catholic Bukoba anastaafu kutoka na sheria za kanisa za kufikisha miaka 75! Lakini limetoka tangazo kutoka TEC, Askofu Kilaini atakua muangalizi wa Jimbo!

Je Kilaini aliwakosea nini Roma??View attachment 2373787
Ila huyo askofu Ana history yake muhimu sna huwa nikisomaga nafutiwa nae sna

Story ya Kweli ya kuwa katka ndege iliyotekwa ikitokea kenye ktk kuifunja jumuiya ya Africa mashariki Ni story Kali mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo jimbo katoliki la Bukoba linasubiri Askofu mkuu mwingine...

Kwa jimbo hili mara nyingi linakuwa na maaskofu wawili na wala sio jimbo kuu...wakati kuna majimbo mengine hayana maaskofu kabisa?


Miaka ya 60 na 70 jimbo hili lilikuwa na maaskofu wawili pia na kama hayupo basi kunakuwepo padre mkuu msaidizi kama wakati wa askofu timanywa
Mkuu huyu severini neyemugiz Ni wapi anahudumu ktk Jimbo gani

Gervanc nyaisongwa nae Ni wapi anaudumia Jimbo gani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu huyu severini neyemugiz Ni wapi anahudumu ktk Jimbo gani

Gervanc nyaisongwa nae Ni wapi anaudumia Jimbo gani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Severin ni wa jimbo la Rulenge ngara linalohudumia wilaya za ngara na biharamulo mkoa wa kagera pamoja na chato mkoa wa geita...

Nyaisonga ni askofu mkuu wa jimbo kuu la mbeya
 
M

Mfano jimbo gani halina Bishop?
Mbona yapo mengi tu...
Njombe
Tanga
Juzi juzi tu kahama nayo ndo imepata..

Lakin Bukoba kunakuwa na maaskofu wawili mara nyingi na sio jimbo kuu...
Mfano wakati wa Kardinali Rugambwa alikuwa na msaidizi wake askofu Nkalanga nk
 
Huyu ni Senior Askofu wa Roman Catholic toka akiwa Dsm hadi sasa hivi bado ni Askofu Msaidizi huko Jimbo Catholic Bukoba!

Na leo Catholic wametoa waraka kwamba Askofu wa Jimbo Catholic Bukoba anastaafu kutoka na sheria za kanisa za kufikisha miaka 75! Lakini limetoka tangazo kutoka TEC, Askofu Kilaini atakua muangalizi wa Jimbo!

Je Kilaini aliwakosea nini Roma??View attachment 2373787
Kwani barua inatoka kwa nani? Muulize huyo
 
Ombi langu kwenu kemeeni vitendo vya kilawiti na ubakaji wa watot ,bint angu Ni mroma Catholic huku mm baba ake nikiwa mfuasi wa nabii fln HV sin shida na mwanagu kuamua kubaki kuwa mkatoliki Ila hofu yangu ni juu ya usalama wake naogopa mno mkp juzi nilivyo ona hbr kule Moshi kuhisu padri sosntenes nikamuambia abadili au achane na ukatoliki ila mam ake amenijia juu san as if kwaba ni dhammbi kuama dhehebu Hilo

Ofu kubwa sna ninayo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo huko ulipo ni kwa watakatifu?

Utovu wa nidham wa Padre/Shekhe mmoja ndo kiwakilishi cha kanisa au msikiti mzima? Kama ndivyo, basi mbona YESU hakubeba image ya Yuda Iskariote kwa uovu alioufanya?

At some point, hoja yako inaweza kuwa na msingi kwa mfumo wa kanisa linalofanya kazi kama mtu binafsi, mf. Mwamposa. Ingawa kiusajili ni taasisi, ila kiuhalisia ni mali ya mtu.

*Kama ukiwaza hivi, basi kamtengenezee mtoto wako dunia yake aishi peke yako ndo atakuwa salama.
 
Kwa hiyo jimbo katoliki la Bukoba linasubiri Askofu mkuu mwingine...

Kwa jimbo hili mara nyingi linakuwa na maaskofu wawili na wala sio jimbo kuu...wakati kuna majimbo mengine hayana maaskofu kabisa?


Miaka ya 60 na 70 jimbo hili lilikuwa na maaskofu wawili pia na kama hayupo basi kunakuwepo padre mkuu msaidizi kama wakati wa askofu timanywa
Lina wawili kutokana na kilaini kutokewa dsm kipindi chá sekeseke la escrow walimleta bukoba Ili apumzike
 
Severin ni wa jimbo la Rulenge ngara linalohudumia wilaya za ngara na biharamulo mkoa wa kagera pamoja na chato mkoa wa geita...

Nyaisonga ni askofu mkuu wa jimbo kuu la mbeya
Severin Niwemugizi na Magufuli sijui walikuwaga na bifu gani hawa watu! Magufuli ali cross the border aiseee! Alimpokonya passport Niwemugizi nakuanza kuchunguza Uraia wake
 
Back
Top Bottom