Yego mlaunu
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 234
- 269
1:-Jimbo kuu la Tabora- Paul R RuzokaJe yapo majimbo mangapi makuu hapa nnchi je unaweza kunitajia kwa kila Jimbo kuu na askofu wake nitafurahi nikijuwa hilo
Naanza la dsm Jimbo kuu la dasm
Lapili Jimbo kuu la mwanza
N la tatu Jimbo kuu la mbeya mengine ninyepi na bishop wake
Asante
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
2:-Jimbo kuu la DSM:- Ruwaichi
3:-Jimbo kuu la Songea:- Damian Denis Dalu
4:- Jimbo kuu la Mwanza:- Renatus Nkwande
5:-Jimbo kuu la Arusha:- Isack Amani
6:-Jimbo kuu la Dodoma:- Beatus Kinyaia
7:-Jimbo kuu la Mbeya:- Gervas Nyaisonga
Majina yao unapoyasoma anza na Mhashamu Baba Askofu