....Lakini nilichokiona ni kuwa watanzania wengi ni wapumbafu na wala sio wajinga na wanaburuzika kirahisi sana....
mshbiki tu hakuna kitu! Desparate, unatueleza gharama za kuunga umeme hapa.
Ilibkujenga jengo kubwa la namna ya kanisa la kakobe ni lazima afanye eia. Je y alifanya?
Je y alifanya?
Swali jibu!!!ama kiswahili nimekosea
je y alifanya??!!!ama y akufanya?
Mshbiki tu hakuna kitu! Desparate, unatueleza gharama za kuunga umeme hapa.
Ilibkujenga jengo kubwa la namna ya kanisa la kakobe ni lazima afanye eia. Je y alifanya?
Askofu kakobe amejitolea kukupa darasa namna ya kudai haki yako na kuisimamia lakini naona kichwa yako nzito sana kuelewa, yaani kuna watu hapa wapo wapo tu hawajui wanatoka wapi na wanaelekea wapi.
Yani mtu anaipuka tu kwakuwa amezoea kubururwa anadhani ndio utaratibu au kawaida amka ndugu yangu tupa mbali hiyo blanketi uliyojifunika.
Ngoja tusubiri hiyo ripoti ya BICO,si inatoka wiki hii.Japo sina imani nayo hata kidogo.naona kama ndio walewale.
By Farm Animals: All animals are equal but others are more equal
ripoti ilishatoka kitambo na anayo kopi na ndiyo anaikataa wewe upo nchi gani?