Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.

Status
Not open for further replies.
Kanisa limemshinda. Kama anataka nayeye aingie kwenye siasa. Mbona mwenzake Slaa kaingia:thumbdown::thumbdown::thumbdown::D:D:D:D:D
 
Nyi ndiyo wa hamiaji haramu,humjui mtumishi wa Mungu aliye waambia TANESCO wasi pitishe umeme kanisani Akina Ngeleja wakapitisha lakini umeme umeshindwa kuwaka na kupita kwenye nguzo ya kanisani hadi leo.Mungu kulithibitisha hilo kichaa mmoja alipanda kwenye nguzo hiyo na kuchezea nyaya bila madhara yoyote

Hii ni kweli au........... Una maanisha umeme haufiki kule kulikokusudiwa, na ni kwa nini hawajarekebisha hali hiyo mpaka sasa.
 
Hiyo ndiyo fadhila anayotoa baada ya Serikali kutomvunjia Kanisa lake ili kupitisha nguzo za umeme.
 
Pamoja na kwamba huwa simkubali kihiiivyo huyu mtumishi;
Lakini ameanza kupata upako kwa kutambua kuwa CHADEMA ni
chama hatari katika Tanzania yetu.
 
Yeye si anaweza kuombea watu na vilema kutembea,akiombee hicho chama kiteketee kama ana uwezo!!
 
Kakobe anatafuta undugu na Zitto

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.


Askofu Mkuu wa Kanisa la
Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe, amezitaka mamlaka zinazohusika kuvifuta vyama vyote vya siasa vinavyoendeshwa kwa misingi ya ukabila havivurugi nchi.

Askofu Kakobe, amezungumza Kanisa kwake hivi karibuni kwenye ibada ya sikukuu ya Krismas alisema miaka kadhaa iliyopita nchi haikuwa akiandamwa na vitendo vya ukabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.

Alisema kuna baadhi ya vyama vya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu kimejulikana kuwa vinendeshwa kikabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.

Alisema kuna baadhi ya vyama nya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu vimeendeshwa kikabila, jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi.

Askofu Kakobe, alizishauri mamlaka zinazohusika kuvifuatilia vyama hivyo kuvifuta katika orodha ya vyama vya siasa kwani ni hatari katika mustakabadhi wan chi na wananchi wake.

Akizungumza suala zima la uongozi wanachi, hususani kitendo cha mawaziri kadhaa kuondolewa katika nyadhifa zao, alisema ubovu wa viongozi unachangia na mfumo wa kuteua viongozi.

Askofu Kakobe alisema kwa kawaida uongozi ni kipaji, hivyo watu wanapoona kunakuwa na viongozi wasiowajibika kikamilifu, wajue kuwa kuna tatizo katika uteuzi wao. Moja ya tatizo kubwa linaloathiri nchi kwa sasa alisema ni kuchagua watu kwa kuangalia maenao wanayotoka.

Waha at work
 
Siamini hivi kweli kakobe amechuja mpaka mawazo da!! eeh mumgu msaidie kipofu huyu apate kuona alama za nyakati.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom