Hapo anaisema Chadema hata mtoto mdogo anajua.
Mleta maada aidha hakuelewa ujumbe wa Kakobe au ameamua kutofafanua ili apotoshe ujumbe wenyewe!
Mimi nimeusikia ujumbe huo na kuulewa barabara. Kakobe alikuwa akipinga propaganda za ccm wanaosema kuna vyama vya ukanda, ukabila na udini. Hivyo akaishauri serikali kwamba kama inaushahidi wa chama kinacho endeshwa kwa misingi ya udini, ukabila na ukanda wavifute mara moja. Vinginevyo waache propaganda zinazoligawa taifa na kuleta madhara ya muda mrefu toka kizazi hadi kizazi.
Wakati unaandika hukuwa objective kuna drive flani flani ulikuwa nazo kichwani zinakuongoza kuandika jaribu kuziweka wazi. Jipange na ulete taarifa upya.Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.
Askofu Mkuu wa Kanisa la
Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe, amezitaka mamlaka zinazohusika kuvifuta vyama vyote vya siasa vinavyoendeshwa kwa misingi ya ukabila havivurugi nchi.
Askofu Kakobe, amezungumza Kanisa kwake hivi karibuni kwenye ibada ya sikukuu ya Krismas alisema miaka kadhaa iliyopita nchi haikuwa akiandamwa na vitendo vya ukabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.
Alisema kuna baadhi ya vyama vya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu kimejulikana kuwa vinendeshwa kikabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.
A.
Akizungumza suala zima la uongozi wanachi, hususani kitendo cha mawaziri kadhaa kuondolewa katika nyadhifa zao, alisema ubovu wa viongozi unachangia na mfumo wa kuteua viongozi.
Askofu Kakobe alisema kwa kawaida uongozi ni kipaji, hivyo watu wanapoona kunakuwa na viongozi wasiowajibika kikamilifu, wajue kuwa kuna tatizo katika uteuzi wao. Moja ya tatizo kubwa linaloathiri nchi kwa sasa alisema ni kuchagua watu kwa kuangalia maenao wanayotoka.
Hapo anaisema Chadema hata mtoto mdogo anajua.
Kuhusu utaratibu Mheshimiwa Moderator.
Kama anaisema Chadema basi na yeye kaingia kwenye kosa hilohilo analolisema. Fikiria vizuri msemaji anatoka wapi. siamini kama anailenga cdm moja kwa moja.
Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.
Askofu Mkuu wa Kanisa la
Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe, amezitaka mamlaka zinazohusika kuvifuta vyama vyote vya siasa vinavyoendeshwa kwa misingi ya ukabila havivurugi nchi.
Askofu Kakobe, amezungumza Kanisa kwake hivi karibuni kwenye ibada ya sikukuu ya Krismas alisema miaka kadhaa iliyopita nchi haikuwa akiandamwa na vitendo vya ukabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.
Alisema kuna baadhi ya vyama vya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu kimejulikana kuwa vinendeshwa kikabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.
Alisema kuna baadhi ya vyama nya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu vimeendeshwa kikabila, jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi.
Askofu Kakobe, alizishauri mamlaka zinazohusika kuvifuatilia vyama hivyo kuvifuta katika orodha ya vyama vya siasa kwani ni hatari katika mustakabadhi wan chi na wananchi wake.
Akizungumza suala zima la uongozi wanachi, hususani kitendo cha mawaziri kadhaa kuondolewa katika nyadhifa zao, alisema ubovu wa viongozi unachangia na mfumo wa kuteua viongozi.
Askofu Kakobe alisema kwa kawaida uongozi ni kipaji, hivyo watu wanapoona kunakuwa na viongozi wasiowajibika kikamilifu, wajue kuwa kuna tatizo katika uteuzi wao. Moja ya tatizo kubwa linaloathiri nchi kwa sasa alisema ni kuchagua watu kwa kuangalia maenao wanayotoka.
Nguvu ya umma ni zaidi ya kimbunga cha mama spika.Kuhusu utaratibu Mheshimiwa Moderator.
Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.
Askofu Mkuu wa Kanisa la
Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe, amezitaka mamlaka zinazohusika kuvifuta vyama vyote vya siasa vinavyoendeshwa kwa misingi ya ukabila havivurugi nchi.
Askofu Kakobe, amezungumza Kanisa kwake hivi karibuni kwenye ibada ya sikukuu ya Krismas alisema miaka kadhaa iliyopita nchi haikuwa akiandamwa na vitendo vya ukabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.
Alisema kuna baadhi ya vyama vya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu kimejulikana kuwa vinendeshwa kikabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.
Alisema kuna baadhi ya vyama nya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu vimeendeshwa kikabila, jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi.
Askofu Kakobe, alizishauri mamlaka zinazohusika kuvifuatilia vyama hivyo kuvifuta katika orodha ya vyama vya siasa kwani ni hatari katika mustakabadhi wan chi na wananchi wake.
Akizungumza suala zima la uongozi wanachi, hususani kitendo cha mawaziri kadhaa kuondolewa katika nyadhifa zao, alisema ubovu wa viongozi unachangia na mfumo wa kuteua viongozi.
Askofu Kakobe alisema kwa kawaida uongozi ni kipaji, hivyo watu wanapoona kunakuwa na viongozi wasiowajibika kikamilifu, wajue kuwa kuna tatizo katika uteuzi wao. Moja ya tatizo kubwa linaloathiri nchi kwa sasa alisema ni kuchagua watu kwa kuangalia maenao wanayotoka.
Mzinz ni mzinz tuu eti anawashika viuno...uasherati wako sio wa kila mtu, by the way credibility ya makund ka uamsho na alshabab iko wap...mawazo ya ukabila hayawez kuwa ya chadema kisa kumfurumsha yule kajanja Wa pesa za dear Wa ujeruman....!!!!Ingekuwa Uamsho mungesema wanachanganya Siasa na dini, halafu mukawaita majina mabaya magaidi, alshabab na akaida lakini Kakobe mcheza Ndomboloo mule kanisani mda mwengine huwashika madem wa wakiristo viuno eti wabarikiwe hili hamuliongelei., huwa namuonaga chnal10.,