Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.

Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.

Status
Not open for further replies.
Kwahiyo Kakobe no home boy was zzk, na Pengo vipi. Chama ndio kimekwisha hivyo. Sasa hakuna asiye jua CD no chama cha kikabila.
 
Kwahiyo Kakobe ni home boy was zzk, na Pengo vipi. Chama ndio kimekwisha hivyo. Sasa hakuna asiye jua CDM ni chama cha kikabila.
 
Hahahhaah walimwalika pale jangwan ile siku wameunga na cuf kumbe bdo hayupo upande waoo,poor Chadema
 
Kakobe amerudishwa na roho kuja kuiokoa tz sikilizeni maneno yake myafuate na kuzingatia
 
Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.


Askofu Mkuu wa Kanisa la
Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe, amezitaka mamlaka zinazohusika kuvifuta vyama vyote vya siasa vinavyoendeshwa kwa misingi ya ukabila havivurugi nchi.

Askofu Kakobe, amezungumza Kanisa kwake hivi karibuni kwenye ibada ya sikukuu ya Krismas alisema miaka kadhaa iliyopita nchi haikuwa akiandamwa na vitendo vya ukabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.

Alisema kuna baadhi ya vyama vya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu kimejulikana kuwa vinendeshwa kikabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.

Alisema kuna baadhi ya vyama nya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu vimeendeshwa kikabila, jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi.

Askofu Kakobe, alizishauri mamlaka zinazohusika kuvifuatilia vyama hivyo kuvifuta katika orodha ya vyama vya siasa kwani ni hatari katika mustakabadhi wan chi na wananchi wake.

Akizungumza suala zima la uongozi wanachi, hususani kitendo cha mawaziri kadhaa kuondolewa katika nyadhifa zao, alisema ubovu wa viongozi unachangia na mfumo wa kuteua viongozi.

Askofu Kakobe alisema kwa kawaida uongozi ni kipaji, hivyo watu wanapoona kunakuwa na viongozi wasiowajibika kikamilifu, wajue kuwa kuna tatizo katika uteuzi wao. Moja ya tatizo kubwa linaloathiri nchi kwa sasa alisema ni kuchagua watu kwa kuangalia maenao wanayotoka.

Hakika CHADEMA ni chama cha kikabila. Kinatakiwa kufutwa mara moja.
 
Mleta maada aidha hakuelewa ujumbe wa Kakobe au ameamua kutofafanua ili apotoshe ujumbe wenyewe!

Mimi nimeusikia ujumbe huo na kuulewa barabara. Kakobe alikuwa akipinga propaganda za ccm wanaosema kuna vyama vya ukanda, ukabila na udini. Hivyo akaishauri serikali kwamba kama inaushahidi wa chama kinacho endeshwa kwa misingi ya udini, ukabila na ukanda wavifute mara moja. Vinginevyo waache propaganda zinazoligawa taifa na kuleta madhara ya muda mrefu toka kizazi hadi kizazi.
 
Askofu Kakobe ataja vyama vya Kufutwa.


Askofu Mkuu wa Kanisa la
Full Gospel Bible Fellowship, Zacharia Kakobe, amezitaka mamlaka zinazohusika kuvifuta vyama vyote vya siasa vinavyoendeshwa kwa misingi ya ukabila havivurugi nchi.

Askofu Kakobe, amezungumza Kanisa kwake hivi karibuni kwenye ibada ya sikukuu ya Krismas alisema miaka kadhaa iliyopita nchi haikuwa akiandamwa na vitendo vya ukabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.

Alisema kuna baadhi ya vyama vya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu kimejulikana kuwa vinendeshwa kikabila tofauti na sasa ambapo hali imekuwa mbaya.

Alisema kuna baadhi ya vyama nya siasa nchini ambavyo kwa kipindi kirefu vimeendeshwa kikabila, jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi.

Askofu Kakobe, alizishauri mamlaka zinazohusika kuvifuatilia vyama hivyo kuvifuta katika orodha ya vyama vya siasa kwani ni hatari katika mustakabadhi wan chi na wananchi wake.

Akizungumza suala zima la uongozi wanachi, hususani kitendo cha mawaziri kadhaa kuondolewa katika nyadhifa zao, alisema ubovu wa viongozi unachangia na mfumo wa kuteua viongozi.

Askofu Kakobe alisema kwa kawaida uongozi ni kipaji, hivyo watu wanapoona kunakuwa na viongozi wasiowajibika kikamilifu, wajue kuwa kuna tatizo katika uteuzi wao. Moja ya tatizo kubwa linaloathiri nchi kwa sasa alisema ni kuchagua watu kwa kuangalia maenao wanayotoka.

kanisa lake Pia lifutwe mbn linawaibia watz Halafu yy anakula bata USA
 
Hata Yesu au Mtume Mohamad wakija hapa duniani na kusema hiki Chama Viongozi wake hawafai kabisa ni wachafu kwa jinsi ninavyowajua mtamkejeli hata Yesu au Mtume Mohamad huku mkiwa tayari kuwatetea akina Mbowe kwa nguvu zote!!!

kakobe nae nani kati ya hao uliowatajam? huo ni ushabiki maandazi kwani ccm walihubiri nn kule sombetini?
 
Usikufuru! Sauti ya Mungu haiwezi kupitia vinywa vya matapeli wanaotumia dini.

serikali inahitajika kuheshimu na kutii sauti ya Mungu hiyo kupitia mchungaji wake Kakobe.
Kifuteni CHADEMA hiyo ndio sauti ya Mungu.
 
Mtakisema sn chama cha Chadema ndo kwanza tunajiandaa kushika dola Chadema ni chama ambacho kimekubalika tanzania nzima,
 
Kakobe anatafuta pa kutokea kama si hivyo ni njaa inamsumbua, katika wachungaji wenye dhambi katika nchi hii huyu anaongoza kwani akiwa kanisani upokonya fedha na pete na mikufu ya thamani ya waumini kwa kuwarubuni kwa kupitia USHIRIKINA wake na ni vema wewe mjumbe wake ebu tuambie tunasikia yupo kwenye kundi la imani ya FREEMASON(ILLUMINANT) je ni kweli?

Kibogo, kama huna la kuandika ni bora ukae kimya kuliko kuweka utupu wako hadharani!

Nchi hii ina polisi, ina usalama wa taifa na ina waandishi wa vyombo vya habari. Kama kuna mtu aliye nyang'anywa hivyo vito vya thamani basi angeweza kwenda kushitaki polisi badala ya kulalamika mitaani.

Hebu jaribu kufanya uchunguzi mdogo tu; je wewe binafsi una mkufu au pete ya dhahabu? Kama unayo basi nenda kesho pale kanisani Mwenge ukathibitishe ndipo uje uandike. Vinginevyo nakushauri ukae kimya!
 
Wahubiri wahuni tu hawa. Kwanza wanajihusisha na siasa wapi na wapi YEHOVA MUNGU akajihusisha na siasa? Vbaraka wa devil
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom