Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Anazungumza na waandishi wa Habarii juu ya UPOPOMA wa Dr.slaa na Mkewe

Aiseee Dr.slaa namuhurumia ndo kesha ji delete katika Ramani ya SIASA bongo!!!

Mijaanmke mingine bhanaaa bora ikawe MINYAMPALAA
 
Naona siasa chafu! Chafu! Chafu!..... Za maji taka.!

Kweli kama Taifa tumepotoka.!
 
Gwajima amekuja kujitetea baada ya kufukuzwa pale Tanganyika peckers na kuhamia pale ubungo.
Hivi unamsikiliza kweli Gwajima? au unahadithiwa tu.
Mbona sijasikia pakitajwa neno Tanganyika peckers kwenye speech ya Gwajima??
 
gwajima na wachungaji wake hawajajibu hoja za dr slaa zaidi ya kueleza matatizo ya kifamilia yeye ni mshenga tu gwajima.
ni kosa kabisa kiongozi wa dini kutangaza mambo haya ya kifamilia ndio dini za kisasa hizo
 
Magamba wameumbuka.... Hahahaha kumbe ndio mana Dr. Slaa kakimbia nchi alijua Gwajima halembi
 
Back
Top Bottom