Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

ni baada ya kuona idadi ya waandishi habari waliohudhuria mkutano wa ukawa chini ya mh mbatia.

watu wenye akili zao wameshaanza kuwastukiwa ukawa. na ukawa wanalijua hilo ndio maana kuna juhudi za kila aina kumuepusha mgombea wao urais kuhudhuria midahalo.

eti midahalo iwe ya kimfumo, vishirikishwe vyama sio wagombea urais wa vyama hivyo. kuna kila dalili mgombea wa urais ukawa kutia mpira kwapani siku ya mdahalo.
 
ni baada ya kuona idadi ya waandishi habari waliohudhuria mkutano wa ukawa chini ya mh mbatia.

watu wenye akili zao wameshaanza kuwastukiwa ukawa. na ukawa wanalijua hilo ndio maana kuna juhudi za kila aina kumuepusha mgombea wao urais kuhudhuria midahao.

eti midahalo iwe ya kimfumo, vishirikishwe vyama sio wagombea urais wa vyama hivyo. kuna kila dalili mgombea wa urais ukawa kutia mpira kwapani siku ya mdahalo.

As your first username/ID so is the thread.
 
ni baada ya kuona idadi ya waandishi habari waliohudhuria mkutano wa ukawa chini ya mh mbatia.

watu wenye akili zao wameshaanza kuwastukiwa ukawa. na ukawa wanalijua hilo ndio maana kuna juhudi za kila aina kumuepusha mgombea wao urais kuhudhuria midahao.

eti midahalo iwe ya kimfumo, vishirikishwe vyama sio wagombea urais wa vyama hivyo. kuna kila dalili mgombea wa urais ukawa kutia mpira kwapani siku ya mdahalo.
Mlipokuwa mnawadharau watanzania na kuwaita wapumbavu na malofa mlizani ni mbuzi ndio mtawatawala!!?
 
ni baada ya kuona idadi ya waandishi habari waliohudhuria mkutano wa ukawa chini ya mh mbatia.

watu wenye akili zao wameshaanza kuwastukiwa ukawa. na ukawa wanalijua hilo ndio maana kuna juhudi za kila aina kumuepusha mgombea wao urais kuhudhuria midahao.

eti midahalo iwe ya kimfumo, vishirikishwe vyama sio wagombea urais wa vyama hivyo. kuna kila dalili mgombea wa urais ukawa kutia mpira kwapani siku ya mdahalo.
http://www.thehabari.com/habari-tanzania/ni-mwiko-serikali-kuwakopa-wakulima-wa-korosho-bi-samia-suluhu

Ona hiyo MTU anaendelea kutoa ahadi ambayo ilitolewa na CCM tangu mwaka 2000 na yeye anairudia halafu angalia huo umati wote umevalishwa nguo za CCM tena inawezekana in mpya.
 
ni baada ya kuona idadi ya waandishi habari waliohudhuria mkutano wa ukawa chini ya mh mbatia.

watu wenye akili zao wameshaanza kuwastukiwa ukawa. na ukawa wanalijua hilo ndio maana kuna juhudi za kila aina kumuepusha mgombea wao urais kuhudhuria midahao.

eti midahalo iwe ya kimfumo, vishirikishwe vyama sio wagombea urais wa vyama hivyo. kuna kila dalili mgombea wa urais ukawa kutia mpira kwapani siku ya mdahalo.

Ni wakati wa Mabadiliko.
 
Upinzani wanakimbia midahalo?? Hiki ni kichekesho na maajabu kwenye ulimwengu wa Modern Politics

Wewe ndiye unayechekesha maana umekuwa mwepesi mno wa kusahau? Ni lini mgombea wa urais tangu 2005 alishawahi kuhudhuria midahalo? 2010 Kikwete alikimbia akahudhuria dr. slaa na Lipumba tu. Sasa kama mlikuwa hamuoni huo umuhimu wa midahalo leo ni kitu gani kimewasibu hadi mng'ang'anie hiyo midahalo? MAJI YA SHINGO! na bado mtaisoma namba mwaka huu!
 
Wewe ndiye unayechekesha maana umekuwa mwepesi mno wa kusahau? Ni lini mgombea wa urais tangu 2005 alishawahi kuhudhuria midahalo? 2010 Kikwete alikimbia akahudhuria dr. slaa na Lipumba tu. Sasa kama mlikuwa hamuoni huo umuhimu wa midahalo leo ni kitu gani kimewasibu hadi mng'ang'anie hiyo midahalo? MAJI YA SHINGO! na bado mtaisoma namba mwaka huu!
Inaonekana wewe ni mzito kidogo. Ninachosema ni kwamba, kwa hali ya kawaida kwenye ulimwengu wa siasa za vyamavingi, chama tawala ndo kinapaswa kukimbia midahalo (kama walivyofanya CCM mwaka 2005 na 2010. Ila sasa tunachoona ni kwamba, upinzani ndo wanakimbia midahalo..huoni maajabu hapo..kubalini kuwa mmevurunda...hiyo ni gross miscalculations...tatizo Mbowe ali judge uwezo wa EL kupitia vyomba vya habari (ambavyo vimewekwa mfukoni na EL mwenyewe)..what a shame!!
 
Mlipokuwa mnawadharau watanzania na kuwaita wapumbavu na malofa mlizani ni mbuzi ndio mtawatawala!!?

Bado hata huku unaendeleza upumbavu wako na ulofa. Siku zingine jaribu kuficha upumbavu wako
 
Kufuatia tamko la mchungaji Gwajima juu ya mienendo ya Slaa na kuweka wazi mazaifu ya slaa na kuahidi kuyaweka mengi zaidi hadhalani hivi sasa slaa kanywea kama piltoni na kupunguza mikutano yake na vyombo vya habari, asante sana Gwajima.

Kiswahili lugha yetu, kama vipi tumia hata kilugha
 
Bado hata huku unaendeleza upumbavu wako na ulofa. Siku zingine jaribu kuficha upumbavu wako[/QUOTE. Nikikujibu kwa namna ulivyojibu hakika nitakua kundi moja na wewe sasa naiachia dhamira yako nayo ikupime vivyo hivyo!
 
Nachokiamini nikuwa kazi ya msingi ya viongozi wa taasisi za kidini ni kuishauri na kuielea serikali kwa njia ya kuhubiri amani,mshikamano na upendo,sasa anachokifanya huyu so-called askofu naniii ni nje ya ambit ya kanuni za kidini,sasa anaanza kupoteza mvuto wa kiongozi wadini ambaye anapaswa kusimamia yale niliyoyasema nakuanza kunena maneno yanaharibu status yake kama kiongozi wadini, pia bila itikadi ya vyama anatia doa viongozi wa taasisi za kidini kwa hayo anayofanya,anachopaswa akiwa kama askofu ni kuliombea taifa amani na sio kuingia contest zisizokuwa na tija na kumuhusu.
 
Back
Top Bottom