Gwajima amedharaulika
Hahahaha haaaaa! Huo ni mtazamo wako kwa kijiakili chako... nikutaarifu tu... tupo weeeengi ambao kwa tukio hili tumemweshimu Gwajima ! Yaan ni shujaa wetu! Km anakuboa sn.. Kalambe magadi! Maana malimao yameadimika.
Gwajima amedharaulika
Naacha video iongee.
Septemba, 2015...
Naacha video iongee.
Septemba, 2015...
Pasco acha udaku,tutakuogopa hata tukikutana tutashindwa kuongea mambo ya kawaida tu,kwa kuogopa usije kuyatumia huku kama referenceNaunga mkono hoja kwa sababu kwa sababu kuna siku nilikutana na Dr. Slaa akiwa na wife tukazungumza kidogo niliuliza kuhusu Eyre kugombea urais 2015, wife ndio alitoa msimamo fulani!. Kwa vile mazungumzo yale yalikuwa sio formal, nayaregard as off the record.
P
Ni off record isiyo off record, nadhani kuna watu watahisi na kupatia nini kilizungumzwa kwenye hiyo "off record"!Naunga mkono hoja kwa sababu kwa sababu kuna siku nilikutana na Dr. Slaa akiwa na wife tukazungumza kidogo niliuliza kuhusu Eyre kugombea urais 2015, wife ndio alitoa msimamo fulani!. Kwa vile mazungumzo yale yalikuwa sio formal, nayaregard as off the record.
P
Watu wengine wanajitakia balaa bila sababu. Dude lenyewe limejilalia, wewe unalikurupusha, ya nini?DUDE DUDEEEEE LIMEKURUPUSHWA
Sawa, tatizo ni kwamba Dr. Slaa mwenyewe alihusika katika kumkaribisha Lowassa na kulingana na watu wake wa karibu alishakubali maamuzi ya kikao. Kumbe huko nyuma first lady in waiting alishachora red line! Lakini tukiyaacha hayo nini hasa lengo la Dr. Slaa katika kutoa matamshi anayoyatoa hivi leo baada ya kuukwaa ubalozi? Kwa nini asichutame tu ale kivulini na kuacha kulikurupusha dude?Napingana kabisa na wanaodhani chanzo cha kuondoka Dr Slaa si ujio wa Lowassa Dr Slaa kama binadamu na kama kiongozi alikuwa na malengo, na ktk malengo yake lazima aishirikishe familia ili kuwa na mkakati wa pamoja, mikakati inayohusisha resources mbalimbali na ukizingatia maandalizi mengine yalisimamiwa na Chama chenyewe kwa mafunzo nje ya nchi. Mabadiliko ya ghafra hayamathiri Dr Slaa peke yake, yana athiri kwanza familia yake, mashabiki na marafiki waliounga mkono njozi zake na wawezeshaji waliomfadhiri kutimiza njozi zake. Kama hakuna mkakati wa kisaikolojia kuwaandaa hawa wote lazima wawe mbogo. Hivyo tukubaliane, chanzo cha yote ni mabadiliko ya ujio wa ghafra wa mtu mwingine na Slaa kuwekwa pembeni na taratibu zilizotumika.
Na yeye je, kama angeukwaa Urais angeweza kweli kumweka ndani huyo aliyemzawadia ubalozi kwa kufisadi nyumba za serikali kama alivyoahidi?Chadema mnapaswa kupambana na hali yenu sasa hivi chama hakieleweki, msimamo wenu haueleweki, ile list ya mafisadi mmeiondoa halafu mnahangaika na Dr. Slaa kwani wengi wenu mlitegemea baada ya kuondoka angedhalilika kumbe kuna watu waliona uwezo wake ndio maana sasa ana post ya ubalozi hali nyie mliotegemea Lowassa atashinda na kupata vyeo hamjaambulia chochote kwa kifupi mlicheza kamari na mkapoteza tulieni mpange mikakati mingine nani mtamshawishi kutoka CCM abebe bendera yenu maana hamna watu zaidi ya kutegemea waliotoka CCm
Hivi unadhani ni CDM tu wamuonea wivu Dr Slaa ?! Je wale CCM waliomtukana kipindi chote wanamtizamaje dr leo akiwa balozi ?!Chadema mnapaswa kupambana na hali yenu sasa hivi chama hakieleweki, msimamo wenu haueleweki, ile list ya mafisadi mmeiondoa halafu mnahangaika na Dr. Slaa kwani wengi wenu mlitegemea baada ya kuondoka angedhalilika kumbe kuna watu waliona uwezo wake ndio maana sasa ana post ya ubalozi hali nyie mliotegemea Lowassa atashinda na kupata vyeo hamjaambulia chochote kwa kifupi mlicheza kamari na mkapoteza tulieni mpange mikakati mingine nani mtamshawishi kutoka CCM abebe bendera yenu maana hamna watu zaidi ya kutegemea waliotoka CCm