Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

Kiukweli nimesoma hii habari kwa utulivu na kuirudia mara mbili, lakini sijaona hoja yoyote ya msingi zaidi ya mipasho na uongo mkubwa uliotumika kumjibu Dr. Slaa! Kinachonifurahisha ni kwamba wote wanaojaribu kumjibu na kumchafua Dr. Slaa hawana hoja za msingi na wachungaji hao kama kina Gwajima ambao wanasema wanafufua watu na kuchunga kondoo wa bwana kwanini wanakuwa waongo?

Huwezi kuelewa maana akili zako zimeshikwa
 
Back
Top Bottom