Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Twende kazi mkuu tunataka amvue nguo mla mihogooooo
Tunamsubiri slaa ajitokeze,maana kajitakia mwenyewe
Twende kazi mkuu tunataka amvue nguo mla mihogooooo
nyie kama mnapata muda wa kufuatilia watu wapuuzi kama akina gwajima kazi za kuwapatia kipato mnazifanya saa ngapi?
Nategemea makombora ya nguvu kutoka kwa Baba Askofu.
Starccm tv na tbccm tv hawapo?
karibu mkuu kwa more Updates
Futa Povu basi kwenye engo za mdomo..
Leo Askofu anamwaga ukweli wa Slaa
Flora Mbasha yupo hapo pembeni?
Amepanga washangiliaji kweli gwajima Tapeli
mtoto akililia wembe......Tunamsubiri slaa ajitokeze,maana kajitakia mwenyewe
mtoto akililia wembe......
asiyefuzwa na mamaye.......
asiyeskia la mkuu.......
ongezea methali nyingine
Kiukweli nimesoma hii habari kwa utulivu na kuirudia mara mbili, lakini sijaona hoja yoyote ya msingi zaidi ya mipasho na uongo mkubwa uliotumika kumjibu Dr. Slaa! Kinachonifurahisha ni kwamba wote wanaojaribu kumjibu na kumchafua Dr. Slaa hawana hoja za msingi na wachungaji hao kama kina Gwajima ambao wanasema wanafufua watu na kuchunga kondoo wa bwana kwanini wanakuwa waongo?
Huyu ni mzushi anatumia watu kuuza unga hana cha kuongea zaidi ya uchonganishi
Gwajima umetishaaa!