#COVID19 Askofu Gwajima: Viongozi na Wananchi wanaohimiza Chanjo ya COVID-19 ni wajinga na akili zao zimeenda likizo

ngebe

JF-Expert Member
Jun 8, 2020
1,789
5,105
Mbunge wa Kawe Josephat Gwajima ameendelea kusisitiza kuwa viongozi na wananchi wanaohimiza watu kuchanjwa chanjo dhidi ya Covid19 ni wajinga na akili zao zimeenda likizo kwa sababu ya kile alichokiita chanjo hizo kuwa na madhara kwa binadamu na hazizuii maambukizi ya Corona

---
Nahisi kutakuwa kuna sababu nyingine wala si sababu ya chanjo,

kama haya ni ya kweli, Rais awe makini na huyu mtu.

IMG_20210730_103333.png
 
Haya yanachangiwa na laana ya kumuweka Mbowe Mahabusu na pia ni matokeo ya laana ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.

Lazima tu MATAGA watavurugana huko mbele.

Gwajima kamatia hapo hapo.

Msilojua ni kuwa, watu kama Gwajima walikuwa loyal kwa mtu(Magu) na si chama wala kiongozi wa chama au serikali na hawa bado wako wengi tu katika hii serikali ya Mama sema Gwajima kaamua kutojificha.

Inawezekana hata huu ubunge hana shida nao na ndio maana anafunguka kiasi hiki.

CCM mnavuna mlichopanda, hivyo msilalamike-ukipanda bangi, huwezi vuna mahindi.

All in all, hapo katuhumia uhuru wake wa kutoa maoni na kumuita mtu mjinga sio tusi.
 
Asee unawezekana kuna kitu anakiona. Ingekuwa vyema kama angeenda ndani zaidi kueleza madhara kwa binadamu hasa ni yapi na nini kifanyike kama mbadara wa chanjo.
 
Haya yanachangiwa na laana ya kumuweka Mbowe Mahabusu na pia ni matokeo ya laana ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.

Lazima tu MATAGA watavurugana huko mbele.

Gwajima kamatia hapo hapo.
Kukosa ubunge kumewamaliza akili kabisa
 
Gwajima hujibu jumapili tu kwenye Ibada zake baasi, hayo ni maneno ya mashoga wasio na akili wamejitejgenezea accnt fake , ukitaka neno la gwajima njoo jumapili kwenye kanisa la ufufuo na uzima, baada ya hapo mpak jumapili tena.
 
Asee unawezekana kuna kitu anakiona. Ingekuwa vyema kama angeenda ndani zaidi kueleza madhara kwa binadamu hasa ni yapi na nini kifanyike kama mbadara wa chanjo.
Hana la kuthibitisha gwajiuno, katolewa chambo tu na lile gang la mwendazake.
 
Back
Top Bottom