#COVID19 Askofu Gwajima: Viongozi na Wananchi wanaohimiza Chanjo ya COVID-19 ni wajinga na akili zao zimeenda likizo

Asee unawezekana kuna kitu anakiona. Ingekuwa vyema kama angeenda ndani zaidi kueleza madhara kwa binadamu hasa ni yapi na nini kifanyike kama mbadara wa chanjo.
Mwenzenu analikataa na kulizungumzia jambo hili katika perspective ya kibiblia/kiroho...

Kina Samia Suluhu Hassan na wenzake na serikali kwa ujumla na wananchi wengine wasioelewa wanalitazama ktk mtazamo wa kibinadamu na kimwili...

Hizi ni dhana mbili tofauti. Haziwezi kupatana hata kidogo...
 
Do you believe that? No coincidence to the powers ruling the world. And to the contribution of members of various faith. Don't have that perspective. Tz ni kubwa kuliko rais.
Yule muuaji wala hakusakamwa alikuwa akisifiwa tu,ni kwa sababu alikuwa mkristo mwenzao.
 
We had a nice presentation on COVID-19 and CovVax today with some medical specialist from US. Nikiri kuwa, nimekua nikihimiza watu kukubali na kupokea Chanjo but as from now, sitofanya hivyo tena. I have just chosen to be a dumb Dr. I know it's against hypocratic oath that I pronounced to keep throughout my carrier but for the love of Humanity I prefer to shut up my mouth. Mwenyezi Mungu atuepushe na mabalaa.
Please speak out. I am eagerly awaiting your testimony. Na kama haujala bado, ongea halafu uje nyumbani nikupikie kuku wa kienyeji asiyewekwa maji
 
Haya yanachangiwa na laana ya kumuweka Mbowe Mahabusu na pia ni matokeo ya laana ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.

Lazima tu MATAGA watavurugana huko mbele.

Gwajima kamatia hapo hapo.

Msilojua ni kuwa, watu kama Gwajima walikuwa loyal kwa mtu(Magu) na si chama wala kiongozi wa chama au serikali na hawa bado wako wengi tu katika hii serikali ya Mama sema Gwajima kaamua kutojificha.

Inawezekana hata huu ubunge hana shida nao na ndio maana anafunguka kiasi hiki.

CCM mnavuna mlichopanda, hivyo msilalamike-ukipanda bangi, huwezi vuna mahindi.

All in all, hapo katuhumia uhuru wake wa kutoa maoni na kumuita mtu mjinga sio tusi.
Mbona mwenyekiti cdm kamwita mkuu wa wilaya mjinga masaa machache baadaye katiba nguvuni? Wakati jambo analolipigania lipo na linaungwa mkono na wengi?mkishindwa kutoa maamuzi kwa matusi kwa viongozi wa kitaifa basi arudishe kadi yetu
 
Haya yanachangiwa na laana ya kumuweka Mbowe Mahabusu na pia ni matokeo ya laana ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.

Lazima tu MATAGA watavurugana huko mbele.

Gwajima kamatia hapo hapo.

Msilojua ni kuwa, watu kama Gwajima walikuwa loyal kwa mtu(Magu) na si chama wala kiongozi wa chama au serikali na hawa bado wako wengi tu katika hii serikali ya Mama sema Gwajima kaamua kutojificha.

Inawezekana hata huu ubunge hana shida nao na ndio maana anafunguka kiasi hiki.

CCM mnavuna mlichopanda, hivyo msilalamike-ukipanda bangi, huwezi vuna mahindi.

All in all, hapo katuhumia uhuru wake wa kutoa maoni na kumuita mtu mjinga sio tusi.
🤣🤣🤣🤣 Uhuru wa kikatiba. Gwajima hana shida na Ubunge
 
Huyu Gwajima na hao wanaomshabikia wanathibitisha madogo ya kaburu Botha kwa waafrika juu ya uwezo mdogo wa kufikiri.

Hebu tujikumbushe dingo la kaburu Botha hapa chini

“We are not obliged even the least to try to prove to anybody and to the blacks that we are superior people. We have demonstrated that in 1001 ways. If God had wanted us to be superior to the blacks, he would have created us all of a uniform colour and intellect.

“I believe that the Afrikaner is honest, God fearing person, who has demonstrated practically the right way of being.

“By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other.

“They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex. Let us all accept that the Blackman is a symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence.”
 
Back
Top Bottom