The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Mwenzenu analikataa na kulizungumzia jambo hili katika perspective ya kibiblia/kiroho...Asee unawezekana kuna kitu anakiona. Ingekuwa vyema kama angeenda ndani zaidi kueleza madhara kwa binadamu hasa ni yapi na nini kifanyike kama mbadara wa chanjo.
Kina Samia Suluhu Hassan na wenzake na serikali kwa ujumla na wananchi wengine wasioelewa wanalitazama ktk mtazamo wa kibinadamu na kimwili...
Hizi ni dhana mbili tofauti. Haziwezi kupatana hata kidogo...