Nenda kwenye hoja acha kulialia..Kwani wanochanjwa hawana akili? Si wamejiridhisha? Huwezi kumtukana hivi raisi wako halafu unaangaliwa tu!!! Eti achanjwe zote milioni moja!!! Who is Gwajima to us? Kwani yeye kuwa ni msemaji wetu watanzania? Is he a scientist? a pharmasist? Ni mtaalam wa nini hasa? Who is he? is he a preacher? He claimed to resurrect, why did he not resurrect our president? Was he there when the vaccine was being manufactured? Huyu ni mjanja fulani tu anayejua kuongea na kupotosha watu!!! Hii theory kwamba wazungu wanataka kutumaliza, hivi mzungu akitaka kutumaliza lazima atumie chanjo itakayompoint moja kwa moja? Tunatumia kila kitu cha wazungu kwanini hawatumalizi kupitia vitu vyao tunavyovitumia? Why all the trouble kutengeneza chanjo when they can finish us in an instant with no hussle!!!!
Rumors has it dat, gwaj ni undercover ( teeth)
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Mkuu hawa watu wanatia hasira mno. Gwajima ni mhuni mmoja anayecheza na mindset finyu za baadhi ya watu tu. Hana lolote. Unamsikia anasema etu mtu akitaka kumuua yeye huyo mtu anaangamia kabla yake. Yaani kile kitendo cha kufikiria tu kumfanyia jambo baya, basi wewe unakuwa umeshajimaliza mwenyewe. Anajifanya yeye ni masiha mpakwa mafuta. Sidhani kama Mungu anaweza kuwa na ukaribu na mtu wa aina hii!Kwani wanochanjwa hawana akili? Si wamejiridhisha? Huwezi kumtukana hivi raisi wako halafu unaangaliwa tu!!! Eti achanjwe zote milioni moja!!! Who is Gwajima to us? Kwani yeye kuwa ni msemaji wetu watanzania? Is he a scientist? a pharmasist? Ni mtaalam wa nini hasa? Who is he? is he a preacher? He claimed to resurrect, why did he not resurrect our president? Was he there when the vaccine was being manufactured? Huyu ni mjanja fulani tu anayejua kuongea na kupotosha watu!!! Hii theory kwamba wazungu wanataka kutumaliza, hivi mzungu akitaka kutumaliza lazima atumie chanjo itakayompoint moja kwa moja? Tunatumia kila kitu cha wazungu kwanini hawatumalizi kupitia vitu vyao tunavyovitumia? Why all the trouble kutengeneza chanjo when they can finish us in an instant with no hussle!!!!
pia amepitia mitihani mingi that's why ni jasuriPesa ndizo zinampa kiburi.
Pesa ndizo zinamwambia kuwa anaweza kuishi hata USA endapo bongo watamzingua.
Unajua ukiwa na pesa woga hupotea wenyewe
Unamsikia anasema etu mtu akitaka kumuua yeye huyo mtu anaangamia kabla yake. Yaani kile kitendo cha kufikiria tu kumfanyia jambo baya, basi wewe unakuwa umeshajimaliza mwenyewe.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu hawa watu wanatia hasira mno. Gwajima ni mhuni mmoja anayecheza na mindset finyu za baadhi ya watu tu. Hana lolote. Unamsikia anasema etu mtu akitaka kumuua yeye huyo mtu anaangamia kabla yake. Yaani kile kitendo cha kufikiria tu kumfanyia jambo baya, basi wewe unakuwa umeshajimaliza mwenyewe. Anajifanya yeye ni masiha mpakwa mafuta. Sidhani kama Mungu anaweza kuwa na ukaribu na mtu wa aina hii!
Hivi mshana una nini lakini[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]