Askofu Gwajima: Baba yangu aliniambia "watakuua" nikamwambia hafi mtu hapa

Askofu Gwajima: Baba yangu aliniambia "watakuua" nikamwambia hafi mtu hapa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
"Siku za mwanadamu zinapangwa na Mungu, zikiisha zimeisha, hata kama ungetibiwa na watu milioni moja, zikiisha zimeisha. Siku zako kabla hazijaisha, wakuwinde na vyombo vya ajabu hautapatikana", - Ask. Gwajima.

Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akizungumza katika Ibada kanisani kwake mwishoni mwa wiki.

 
"Siku za mwanadamu zinapangwa na Mungu, zikiisha zimeisha, hata kama ungetibiwa na watu milioni moja, zikiisha zimeisha. Siku zako kabla hazijaisha, wakuwinde na vyombo vya ajabu hautapatikana", - Ask. Gwajima.

Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akizungumza katika Ibada kanisani kwake mwishoni mwa wiki.

Duh..!

P
 
Kikawaida mtu hulindwa na Maneno yake.

Ukikiri mbele za watu utakufa basi usijiingize kwenye vita maana ni hakika watakuua.
 
"Hautakufa Bali utaishi nawe utauelezea ukuu wa Bwana" kanyaga twende Bishop endelea kuwapelekea umuriro
 
"Siku za mwanadamu zinapangwa na Mungu, zikiisha zimeisha, hata kama ungetibiwa na watu milioni moja, zikiisha zimeisha. Siku zako kabla hazijaisha, wakuwinde na vyombo vya ajabu hautapatikana", - Ask. Gwajima.

Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akizungumza katika Ibada kanisani kwake mwishoni mwa wiki.

jambo jipya kwa gwajima zaidi ya kujisifu, hua ni makelele tu. Na waamini wake walivyokosa maarifa wanashangilia tu :pedroP:
 
Back
Top Bottom