Askofu Gwajima ame raise and attend both FACTUM PROBANDUM AND FACTUM PROBANS in a single sentense

Askofu Gwajima ame raise and attend both FACTUM PROBANDUM AND FACTUM PROBANS in a single sentense

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,140
Reaction score
96,164
IGP, DGSI, CDF wanaogopa kutenda maana mamlaka yao ya uteuzi ndiyo inatowatuma wanaoua na kuteka watu!

Gwajima amefanya yote, amerahisisha kazi ya wavivu wa kufikiri au wanafiki.

He raised and attended both FACTUM PROBANDUM AND FACTUM PROBANS

HARD TAKE HOME MESSAGE YA GWAJIMA NI KUWA anasema kuna CARTEL ambayo ndiyo inayoongoza nchi. Rais anawasikiliza hao kuliko anybody else! Kuna clip inaonesha samia amezungukwa na CARTEL YA Abdul, Bashite, IGP, Waziri (Katibu wa Rais), mchengelwa, wanu kuwa hawa ndio CARTEL inayoonogoza nchi ....
 
Kwa akili hizi hakuna namna, hata mimi ningechukua. Kiongozi ningechukua changu nakukaa pembeni (japo sio kwa kuuza kitega uchumi kama bandari).

Vinginevyo siwezi ku-risk maisha yangu kwa watu wenye akili nzito kama watanzania.

My god we Tanzanians are thick.

Ni vipi amjaelewa msingi wa Gwajima kujitoa muanga, you people are so thick.

Yaani mpaka mtu, atoke hadharani, uchi aitukane serikali, apigwe risasi ndio mseme alijitolea.

Otherwise wengi hamjaona msingi wa hoja ya Gwajima na kwamba kuna watu waliochoka nyuma yake despite ya maelezo yake ya kina.

Na mada kama ndio evaluation ya alichoongea kweli, so demoralising; mtu ana risk his welfare na huu ndio uelewa wenu,

Halafu nyie ndio wapigania mabadiliko, this thick.

God
 
Ndiyo mwanzo wa kujifunza na kuanza kuvaa sidiria ili ndala zisionekane.
With Google assistance...
  • Factum Probandum:
    This is the main fact or proposition that the party is trying to establish, the issue at the heart of the case. It's the "what" that needs to be proven. For example, in a murder trial, the factum probandum would be the fact of the murder itself.

  • Factum Probans:
    These are the pieces of evidence or facts that are used to prove the factum probandum. They are the "how" or the "evidence" that supports the main claim. In the murder trial example, factum probans could include the weapon used, witness testimony, or a medical certificate, all of which are evidence that helps prove the factum probandum (the murder).


 
IGP, DGSI, CDF wanaogopa kutenda maana mamlaka yao ya uteuzi ndiyo inatowatuma wanaoua na kuteka watu!

Gwajima amefanya yote, amerahisisha kazi ya wavivu wa kufikiri au wanafiki.

. He raised and attended both FACTUM PROBANDUM AND FACTUM PROBANS
Huu ndio ujumbe mkuu kwenye ile press yake.
 
Kwa akili hizi hakuna namna, hata mimi ningechukua changu nakukaa pembeni (japo sio kwa kuuza kitega uchumi kama bandari).

Vinginevyo siwezi ku-risk maisha yangu kwa watu wenye akili nzito kama watanzania.

My god we Tanzanians are thick
Una miaka 65
Upo well financial
Una kila kitu kizuri material things
Watoto wako wapo secured

Ila unawaza kuiba je unaiba ili hizo pesa ukazitumie wapi na lini wakati muda uliobaki hapa duniani sio mkubwa wa kuishi .

Kwanini usifikirie kuacha legacy ,

Ubinafsi ni mbaya Sana .
 
Kwa akili hizi hakuna namna, hata mimi ningechukua. Kiongozi ningechukua changu nakukaa pembeni (japo sio kwa kuuza kitega uchumi kama bandari).

Vinginevyo siwezi ku-risk maisha yangu kwa watu wenye akili nzito kama watanzania.

My god we Tanzanians are thick.

Ni vipi amjaelewa msingi wa Gwajima kujitoa muanga, you people are so thick.

Yaani mpaka mtu, atoke hadharani, uchi aitukane serikali, apigwe risasi ndio mseme alijitolea.

Otherwise wengi hamjaona msingi wa hoja ya Gwajima na kwamba kuna watu waliochoka nyuma yake despite ya maelezo yake ya kina.

Na mada kama ndio evaluation ya alichoongea kweli, so demoralising; mtu ana risk his welfare na huu ndio uelewa wenu,

Halafu nyie ndio wapigania mabadiliko, this thick.

God

Sadly...
 
IGP, DGSI, CDF wanaogopa kutenda maana mamlaka yao ya uteuzi ndiyo inatowatuma wanaoua na kuteka watu!

Gwajima amefanya yote, amerahisisha kazi ya wavivu wa kufikiri au wanafiki.

. He raised and attended both FACTUM PROBANDUM AND FACTUM PROBANS
Kimsingi hakuna kipya alichosema Gwajima kwani watu wengi tayari walikuwa wanajua na upinzani wameshasema sana ila Tanzania watu ni waoga sana wa kujitokeza hadharani na kuzungumza kama alivyofanya. Pengi niseme upinzani wameshasema sana ila jamii huwa inachukulia kama ''hawa ni wapinzani tu''. Pengine mwana CCM kusema huu ukweli itasaidia.
 
Tuna shida watanzania mtu anatumia muda kukuelezea A, halafu wewe unarudi kusimulia wengine alikuwa anaongelea B.

Imagine hapa ndio kwenye wasomi.

Aargh. So sad

Ni spinning strategy mkuu! Sio kwamba hawajui wanatumwa na wanapewa sentensi kabisa za kupost kuwachanganya wananchi wapoteze focus! Ila kwa sasa umma unaendelea kupata ufahamu kila siku muda unafika hata mawe yataongea!
 
Kimsingi hakuna kipya alichosema Gwajima kwani watu wengi tayari walikuwa wanajua na upinzani wameshasema sana ila Tanzania watu ni waoga sana wa kujitokeza hadharani na kuzungumza kama alivyofanya. Pengi niseme upinzani wameshasema sana ila jamii huwa inachukulia kama ''hawa ni wapinzani tu''. Pengine mwana CCM kusema huu ukweli itasaidia.

Tofauti kwa sasa ni kutoka upande wa walaji! So hatujui wangapi wapo nyuma yake na waliochoka kula haramu kwa kuogopa kusema! Tutajua tu soon...
 
Back
Top Bottom