Haiwezekani kwa maneno aliyoyasema hadharani na yale aliyoyaeleza kwny ujumbe wa kuwajibu polisi huku akiwa amejaa kigugumizi yakawa yana uzito sawa. Binafsi bado nko na ukakasi wa haya makanisa yanayozidi kuongezeka kwa mgongo wa ubepari yakipora kidogo wananchi walicho nacho na kuwaneemesha waanzilishi inabidi tuamke wa Tanzania vingine tuvikatae na haihitaji akiri ya kuambiwa au kushauriwa kuona tupelekwako na hawa jamaa ambao kila jumapili tunawapelekea sadaka mwishowe wanajaza full tank kwny magari yao ya kifahari huku siye bado tunanukishana vikwapa kwny daladala tupandazo tena kwa kugombania.
Its geting too much n much kwa huu wizi na uzandiki tufanyiwao na hawa wezi na matapeli kwa njia ya biblia mpk leo wanatukanana madhehebuni na tukiwashangilia? Hii ndo nchi isiyo elezeka pale tunapopaswa kusema hapana tunashangilia kweli? Akili zetu si sawa hili na kiri na nadhan kuna haja ya wazungu kuja kutotolea huu upuuzi wao tuendelee na mila zetu za matunfuli