Mwizukulu wa Buganda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2024
- 638
- 1,771
Yeah. Hawakuwa washauri ila walijipanga kurudi tena kama alivofanya Trumph😂
Netanyahu alistaafu akarudi
Putin alistaafu akarudi
Prof Lipumba alistaafu akarudi
Putin alirudi kwa nini? Katiba ya Russia unaijua? Netanyahu alirudi kwa nini? Katiba ya Israel unaijua? Hawa wa kwetu yaliwashinda enzi zao wanajifanya kushauri nini ? Tena wanajipeleka wenyewe kwa waliopo! Si usubiri uitwe kama wanahitaji ushauri wako? Walifisidi enzi zao, Bado wanatamaa ya kuendelea kufisidi. Mhuni ni mhuni tu.😂
Netanyahu alistaafu akarudi
Putin alistaafu akarudi
Prof Lipumba alistaafu akarudi
Angekuwa mtu wa hovyo,wewe leo usingepata fursa hii ya kutoa mapovuKikwete ni mtu wa ovyo sana na mwanasiasa mwenye TAMAA kaliiiiiiiiiiiiiiii
Unajuaje kama haalikwi?Putin alirudi kwa nini? Katiba ya Russia unaijua? Netanyahu alirudi kwa nini? Katiba ya Israel unaijua? Hawa wa kwetu yaliwashinda enzi zao wanajifanya kushauri nini ? Tena wanajipeleka wenyewe kwa waliopo! Si usubiri uitwe kama wanahitaji ushauri wako? Walifisidi enzi zao, Bado wanatamaa ya kuendelea kufisidi. Mhuni ni mhuni tu.
Unabisha Nini?Angekuwa mtu wa hovyo,wewe leo usingepata fursa hii ya kutoa mapovu
Hilo siyo la msingi, jibu hayo mengineUnajuaje kama haalikwi?
CCM ina baraza la washauri la Marais wastaafuHilo siyo la msingi, jibu hayo mengine
Lile baraza la wazee linalomshauri s100 wote ni maraisi?President hushauriwa na president
Ambao wanamshauri nani katika CCM?CCM ina baraza la washauri la Marais wastaafu
Swali lingine? 🐼✔️
ushauri wao hauendi kwenye critical areas....Lile baraza la wazee linalomshauri s100 wote ni maraisi?