Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Askofu Bogonza kuelekea Sikukuu ya Krismasi amesema haya, "Kumpenda Mungu huku tukiwatesa na kuwadharau Wanadamu ni Ibada ya Sanamu na Mungu hawezi kuwa upande wetu hata kama tunamuimba kila siku na Kula viapo kwa jina lake"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app