Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,503
- 113,614
Ma realist wanasimama kwenye kweli, kama mtu anafanya vizuri maeneo fulani, kuna ubaya gani kumsifu na kumpongeza kwa mazuri hayo?.Realist hawezi ku-behave kama unavyo-behave hata kidogo.
Naendelea kusisitiza
Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri pia tupongeze!
Wanabodi, Natanguliza Heri ya sikukuu ya Pasaka, leo naendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa, na bado hoja kuhusu udikiteta Tanzania, zitaendelea, lakini kwa vile hoja ya udikiteta ni jambo kubwa na very serious kuhusu utawala na uongozi wa nchi yetu na linahusisha tuhuma nzito...
www.jamiiforums.com
Rais Magufuli Akifanya Mazuri, Apongezwe: Hotuba Yake Kuzima Mwenge, Ni One of The Best!
Wanabodi, Hili ni bandiko la pongezi kwa rais Magufuli kwa ile hotuba aliyoitoa Zanzibar wakati wa kuzima Mwenge wa Uhuru, na Kumbukizi ya miaka 18 bila Mwalimu, ukiondoa ile hotuba yake ya kuzindua Bunge, hutuba hii za kuzima Mwenge wa Uhuru, kwa maoni yangu, hotuba hii ni miongoni mwa one...
www.jamiiforums.com
Magufuli is Doing Good For This Nation, Tumuassess kwa Positive Attitude, Kwa Mazuri Tumpongeze, Tumuunge Mkono Kumsupport, lakini kwa Mabaya Tumkosoe
Mbona kasoro pia ameziainisha,tatizo lipo wapi? Labda wewe hujasoma uzi wake Amepiga abracadabra tu bila kuweka anything concrete, kamsome tena
www.jamiiforums.com
Rais Magufuli na serikali yake wakosolewe kwa hoja sio kwa viroja - Jicho letu, Star TV
Wanabodi, Salaam. Moja ya vipindi vipindi bora kabisa vya TV vya mazungumzo (TV Talk Show) hapa nchini kwetu Tanzania ni kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa live na Star TV, kila siku za Jumamosi asubuhi, kikiendeshwa na mtangazaji nguli na mahiri Dotto Emmanuel Bulendu...
www.jamiiforums.com