Askofu mkuu KKKT dayosisi ya KaragweNi askofu wa kanisa gani huyo Bagonza?
Askofu Bagonza ametweet kwakusema Kama unachefuliwa na wanaodai katiba mpya watakapokuja watakaomdai Ben Rabiu Saanane si ndio utatapika?
Nini maoni yako.
Hivi saanane sasa hivi wanaangalianaje na màgufool huko kuzimu walikompelekaAskofu Bagonza ametweet kwakusema Kama unachefuliwa na wanaodai katiba mpya watakapokuja watakaomdai Ben Rabiu Saanane si ndio utatapika?
Nini maoni yako.
Wewe kima una semaje?Huyo mpuuzi hastahili majibu ya heshima
Kwa sababu kakung'uta kwenye mshono????Huyo mpuuzi hastahili majibu ya heshima
MwanaChama CHADEMA. Anataka Rais atoke kanisani kwao. Wamechoka kuona ni Wasilamu na Wakatoliki. KKKTNi askofu wa kanisa gani huyo Bagonza?
Mtu yeyote aliyefilisika hoja hukimbilia udini ' ukanda na ukabila . And thats UMwanaChama CHADEMA. Anataka Rais atoke kanisani kwao. Wamechoka kuona ni Wasilamu na Wakatoliki. KKKT
Mnajificha kwa neno hilo. Kama mnakumbuka 2015 ilikuwaje? Askofu wa KKKT anatangulia mbele kwa mbele hadi sasa na kesho hasi kielewekeMtu yeyote aliyefilisika hoja hukimbilia udini ' ukanda na ukabila . And thats U