Askofu Bagonza katiba mpya na Ben Rabiu Saanane

IMG-20210813-WA0028.jpg
 
Askofu Bagonza ametweet kwakusema Kama unachefuliwa na wanaodai katiba mpya watakapokuja watakaomdai Ben Rabiu Saanane si ndio utatapika?

Nini maoni yako.
Hivi saanane sasa hivi wanaangalianaje na màgufool huko kuzimu walikompeleka
 
Asante Bishop,natamani wengi Wenye hekima waseme neno,tujenge umoja wa kweli na ustawi wa taifa letu,tupunguze unafiki.
 
Askofu mpakwa mafuta anarusga vijembe.

Hawa ndio wanafanya dini zionekane biashara tu.
 
Back
Top Bottom