johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Kama tungekuwa tumewachagua kihalali kabisa maana yake kila Mwananchi angekuwa yumo bungeni hivyo Bunge la JMT lingejigeuza kuwa Bunge la Katiba na kutuandikia Katiba mpya
Ila ndio kama alivyosema Askofu Dr Bagonza PhD kwamba Wabunge Wenyewe wanashangaa wamefikaje bungeni 2020 na Wapiga kura nao wanawashangaa Waliwachagua lini!!
Katika hili Shujaa Magufuli alitutenda!
Ila ndio kama alivyosema Askofu Dr Bagonza PhD kwamba Wabunge Wenyewe wanashangaa wamefikaje bungeni 2020 na Wapiga kura nao wanawashangaa Waliwachagua lini!!
Katika hili Shujaa Magufuli alitutenda!