Mgongano wa mawazo ndiyo afya, nchi inapitia ktk tetemeko la kisiasa baada ya kifo cha Rais aliyekuwa anahudumu
Askofu Bagonza atoa mawazo yake kuhusu masuala mbalimbali ya siasa na sayansi ya siasa.
Spika au rais wote wana huru wa kutoa mawazo yao wakiwa katika nafsi iliyo nje ya taasisi ya Bunge au taasisi ya Urais.
CCM Kuua kambi ya upinzani yaani vyama vingi kupaza sauti au kushinda viti vya udiwani na ubunge ktk chaguzi, ndiyo kumeleta upinzani ndani ya chama kimoja. Mfano spika hivi karibuni alikuwa anatoa mawazo kama vile yeye ni 'kiongozi wa upinzani Bungeni '
Askofu Bagonza ashauri jinsi ya kuongoza mchakato mzima wa kupatikana spika mpya, anatamani mchakato huo uongozwe na mtu mwenye uzoefu mkubwa kusimamia zoezi hili.
Kuna mgawanyiko mkubwa ktk hali ya kijamii, kisiasa na kiuchumi hivyo rais aseme kwa ujasiri kuponyesha vidonda vya kijamii mfano watu kuumizwa kisiasa na kiuchumi.
Mihimili mitatu iliyojificha katika mhimili mmoja na kuwa mateka pia kusababisha nyufa katika taifa na inahitaji ujasiri wa ziada kurekebisha hali hii askofu Bagonza anasisitiza.
Tunaweza kupata spika mzuri sana kuliko Ndugai lake spika huyu mpya akawa hana Bunge maana bungeni kumejaa wabunge waoga wa chama dola wasioweza kuhoji, kuishauri serikali wala kupitisha miswada na sheria sahihi.
Kiongozi bora hapimwi ktk kipindi shwari kisiasa bali hupimwa jinsi anavyoweza kuhimili na kuongoza nchi katika kipindi cha mtikisiko kama tulionao sasa ... na hakuna rais ktk awamu zote zilizopita ambae amepitia bila kukumbana na matikisiko ingawa wakati wa Magufuli ndiyo yalikuwa makubwa sana ...anakumbushia Askofu Benson Bangoza.
Source: PHD MEDIA TV
Askofu Bagonza atoa mawazo yake kuhusu masuala mbalimbali ya siasa na sayansi ya siasa.
Spika au rais wote wana huru wa kutoa mawazo yao wakiwa katika nafsi iliyo nje ya taasisi ya Bunge au taasisi ya Urais.
CCM Kuua kambi ya upinzani yaani vyama vingi kupaza sauti au kushinda viti vya udiwani na ubunge ktk chaguzi, ndiyo kumeleta upinzani ndani ya chama kimoja. Mfano spika hivi karibuni alikuwa anatoa mawazo kama vile yeye ni 'kiongozi wa upinzani Bungeni '
Askofu Bagonza ashauri jinsi ya kuongoza mchakato mzima wa kupatikana spika mpya, anatamani mchakato huo uongozwe na mtu mwenye uzoefu mkubwa kusimamia zoezi hili.
Kuna mgawanyiko mkubwa ktk hali ya kijamii, kisiasa na kiuchumi hivyo rais aseme kwa ujasiri kuponyesha vidonda vya kijamii mfano watu kuumizwa kisiasa na kiuchumi.
Mihimili mitatu iliyojificha katika mhimili mmoja na kuwa mateka pia kusababisha nyufa katika taifa na inahitaji ujasiri wa ziada kurekebisha hali hii askofu Bagonza anasisitiza.
Tunaweza kupata spika mzuri sana kuliko Ndugai lake spika huyu mpya akawa hana Bunge maana bungeni kumejaa wabunge waoga wa chama dola wasioweza kuhoji, kuishauri serikali wala kupitisha miswada na sheria sahihi.
Kiongozi bora hapimwi ktk kipindi shwari kisiasa bali hupimwa jinsi anavyoweza kuhimili na kuongoza nchi katika kipindi cha mtikisiko kama tulionao sasa ... na hakuna rais ktk awamu zote zilizopita ambae amepitia bila kukumbana na matikisiko ingawa wakati wa Magufuli ndiyo yalikuwa makubwa sana ...anakumbushia Askofu Benson Bangoza.
Source: PHD MEDIA TV