Askofu Bagonza ameandika haya kwa maslahi ya taifa kwa fasihi nzuri

Sanyambila

JF-Expert Member
Jan 24, 2018
339
457
Na Askofu Bagonza

1. Rushwa

Rushwa bandarini ndiyo imesababisha bandari ifanywe inachofanyiwa. Wakiishapeana rushwa, serikali inakosa mapato, mizigo inachelewa, inapotea, na bandari limekuwa pango la majizi.

Swali ni je, kila penye rushwa tuuze? Tubinafsishe? Tukabidhi sekta binafsi?

2 . Umoja na Utaifa

Mjadala umeonyesha, wanaodai wanaujenga/kuutetea umoja na utaifa, ndio wanaubomoa. Wanaoonekana kuubomoa, ndio wanaujenga. Bandari imeujeruhi umoja na utaifa wetu. Hii ina gharama mbeleni. Tumejuana, tuishi kwa tahadhari.

3 . Udini na Siasa Zetu

Viongozi wetu wana dini zao. Sitamani kuchagua kiongozi asiye na dini. Tatizo tunalo viongozi wa dini. Tunawakosoa viongozi wa dini ileee na kupongeza wa dini zetu. Au tunanyamaza mpaka tupigwe sindano ya kupongeza badala ya kushauri.

Inapendeza kumkosoa na kumshauri kiongozi wa dini yako japo haizuiwi kumkosoa wa dini isiyo yako.

4. Ujuzi wa Sheria na Uchumi.

Ajabu Wanasheria walioongea tukaelewa ni wachache sana. Walio wengi ujanja wao unaishia Kisutu.
Wanauchumi wetu ujanja wao unaishia Kariakoo.

Mkataba huu hawauelewi na wakiuelewa hawatuelezi tukaelewa. Huu ni ufa wa hatari.

5. Bunge

Hili lingebinafsishwa kabla ya bandari. Walichoongea bungeni sicho wanachoongea mitaani na kwenye baa. Wanamdanganya rais kuwa wanamuunga mkono wakati wamebeba mishale ya kumwangamiza.

6. Serikali

Mjadala na tabia za watu vimeonyesha serikali hii si ya rais Samia hata kama kaiteua yeye. Hii ni mchanganyiko wa serikali zilizopita. Ina utii uliogawanyika - kiapo kimoja Chamwino na vingine huko makaburini, Msufini, na Butiama.

Serikali bila “Uwajibikaji wa pamoja” ni sawa na genge la wasela. Ufa huu unadai tuanze upya.

7 . Rushwa part 2.

Katika Mjadala wa Bandari tumesikia malalamiko ya rushwa za aina tatu: Wanaonufaika na uzembe wa bandari wakikazana kukwamisha mkataba;

Serikali bila “Uwajibikaji wa pamoja” ni sawa na genge la wasela. Ufa huu unadai tuanze upya.

8. Rais Wetu

Rais SSH ni wetu sote. Ni muhimu kama taifa kumkinga na mipasuko inayotokana na mjadala huu. Kuna maisha baada ya mjadala wa bandari. Yeye analo jukumu la kutuongoza sote na makundi yote mpaka tuvuke. Subira itatufundisha kuliko haraka.

9 . Miafaka yetu

Mjadala huu umejeruhi miafaka yetu na kufukua baadhi ya makaburi. Baadhi ya makaburi tumekuta marehemu hawajaoza.
Katiba, maridhiano, Muungano, maelewano ya kidini, uhuru wa maoni na mamlaka ya wananchi bila bunge ni mambo muhimu sana katika kuziba nyufa.

10. Upinzani wetu

Mjadala unaonyesha aina mpya ya upinzani. Ndani ya chama tawala na serikali kuna upinzani mkali dhidi ya suala la bandari. Hii ni afya kwa nchi lakini hatari kwa utawala. Vyombo vyetu vijifunze kutotumia nguvu kupambana na maoni.

11. Bandari na Mipaka yetu

Bandari ya DSM ni mpaka kama ilivyo Tunduma, Namanga, Sirari, Mtukula na kwingineko. Kuharakisha mizigo bandarini wakati inaenda kukwama mipakani haisaidii. Kero za barabarani na rushwa zake haziwezi kumalizwa na DP World.

Mipaka yetu yote inanuka kwa uzembe, rushwa na ufisadi. Tusisafishe uso (bandari ya DsM) tukasahau makalio (mipaka mingine inayokwamisha mizigo ya nchi za jirani)

Nawashukuru wooote wanaochangia kwa hoja na kutuelimisha tulio wajinga wa sheria, uchumi na mikataba ya kimataifa


Chawa sijui watajibu hoja gani? Zaidi ya matusi tu
 
Bunge

Hili lingebinafsishwa kabla ya bandari. Walichoongea bungeni sicho wanachoongea mitaani na kwenye baa. Wanamdanganya rais kuwa wanamuunga mkono wakati wamebeba mishale ya kumwangamiza.
Naunga mkono hoja ✔️!! NB: Ningeshaur wenzang wa upande wa pili wawe wanakuja na chambuz za namna hii, waachane na mamb ya kuwashambulia Tec while ni mo educated than em'!!
 
Na Askofu Bagonza

1. Rushwa

Rushwa bandarini ndiyo imesababisha bandari ifanywe inachofanyiwa. Wakiishapeana rushwa, serikali inakosa mapato, mizigo inachelewa, inapotea, na bandari limekuwa pango la majizi.

Swali ni je, kila penye rushwa tuuze? Tubinafsishe? Tukabidhi sekta binafsi?

2 . Umoja na Utaifa

Mjadala umeonyesha, wanaodai wanaujenga/kuutetea umoja na utaifa, ndio wanaubomoa. Wanaoonekana kuubomoa, ndio wanaujenga. Bandari imeujeruhi umoja na utaifa wetu. Hii ina gharama mbeleni. Tumejuana, tuishi kwa tahadhari.

3 . Udini na Siasa Zetu

Viongozi wetu wana dini zao. Sitamani kuchagua kiongozi asiye na dini. Tatizo tunalo viongozi wa dini. Tunawakosoa viongozi wa dini ileee na kupongeza wa dini zetu. Au tunanyamaza mpaka tupigwe sindano ya kupongeza badala ya kushauri.

Inapendeza kumkosoa na kumshauri kiongozi wa dini yako japo haizuiwi kumkosoa wa dini isiyo yako.

4. Ujuzi wa Sheria na Uchumi.

Ajabu Wanasheria walioongea tukaelewa ni wachache sana. Walio wengi ujanja wao unaishia Kisutu.
Wanauchumi wetu ujanja wao unaishia Kariakoo.

Mkataba huu hawauelewi na wakiuelewa hawatuelezi tukaelewa. Huu ni ufa wa hatari.

5. Bunge

Hili lingebinafsishwa kabla ya bandari. Walichoongea bungeni sicho wanachoongea mitaani na kwenye baa. Wanamdanganya rais kuwa wanamuunga mkono wakati wamebeba mishale ya kumwangamiza.

6. Serikali

Mjadala na tabia za watu vimeonyesha serikali hii si ya rais Samia hata kama kaiteua yeye. Hii ni mchanganyiko wa serikali zilizopita. Ina utii uliogawanyika - kiapo kimoja Chamwino na vingine huko makaburini, Msufini, na Butiama.

Serikali bila “Uwajibikaji wa pamoja” ni sawa na genge la wasela. Ufa huu unadai tuanze upya.

7 . Rushwa part 2.

Katika Mjadala wa Bandari tumesikia malalamiko ya rushwa za aina tatu: Wanaonufaika na uzembe wa bandari wakikazana kukwamisha mkataba;

Serikali bila “Uwajibikaji wa pamoja” ni sawa na genge la wasela. Ufa huu unadai tuanze upya.

8. Rais Wetu

Rais SSH ni wetu sote. Ni muhimu kama taifa kumkinga na mipasuko inayotokana na mjadala huu. Kuna maisha baada ya mjadala wa bandari. Yeye analo jukumu la kutuongoza sote na makundi yote mpaka tuvuke. Subira itatufundisha kuliko haraka.

9 . Miafaka yetu

Mjadala huu umejeruhi miafaka yetu na kufukua baadhi ya makaburi. Baadhi ya makaburi tumekuta marehemu hawajaoza.
Katiba, maridhiano, Muungano, maelewano ya kidini, uhuru wa maoni na mamlaka ya wananchi bila bunge ni mambo muhimu sana katika kuziba nyufa.

10. Upinzani wetu

Mjadala unaonyesha aina mpya ya upinzani. Ndani ya chama tawala na serikali kuna upinzani mkali dhidi ya suala la bandari. Hii ni afya kwa nchi lakini hatari kwa utawala. Vyombo vyetu vijifunze kutotumia nguvu kupambana na maoni.

11. Bandari na Mipaka yetu

Bandari ya DSM ni mpaka kama ilivyo Tunduma, Namanga, Sirari, Mtukula na kwingineko. Kuharakisha mizigo bandarini wakati inaenda kukwama mipakani haisaidii. Kero za barabarani na rushwa zake haziwezi kumalizwa na DP World.

Mipaka yetu yote inanuka kwa uzembe, rushwa na ufisadi. Tusisafishe uso (bandari ya DsM) tukasahau makalio (mipaka mingine inayokwamisha mizigo ya nchi za jirani)

Nawashukuru wooote wanaochangia kwa hoja na kutuelimisha tulio wajinga wa sheria, uchumi na mikataba ya kimataifa


Chawa sijui watajibu hoja gani? Zaidi ya matusi tu

"Mipaka yetu yote inanuka kwa uzembe, rushwa na ufisadi. Tusisafishe uso (bandari ya DsM) tukasahau makalio (mipaka mingine inayokwamisha mizigo ya nchi za jirani)"
 
Na Askofu Bagonza

1. Rushwa

Rushwa bandarini ndiyo imesababisha bandari ifanywe inachofanyiwa. Wakiishapeana rushwa, serikali inakosa mapato, mizigo inachelewa, inapotea, na bandari limekuwa pango la majizi.

Swali ni je, kila penye rushwa tuuze? Tubinafsishe? Tukabidhi sekta binafsi?

2 . Umoja na Utaifa

Mjadala umeonyesha, wanaodai wanaujenga/kuutetea umoja na utaifa, ndio wanaubomoa. Wanaoonekana kuubomoa, ndio wanaujenga. Bandari imeujeruhi umoja na utaifa wetu. Hii ina gharama mbeleni. Tumejuana, tuishi kwa tahadhari.

3 . Udini na Siasa Zetu

Viongozi wetu wana dini zao. Sitamani kuchagua kiongozi asiye na dini. Tatizo tunalo viongozi wa dini. Tunawakosoa viongozi wa dini ileee na kupongeza wa dini zetu. Au tunanyamaza mpaka tupigwe sindano ya kupongeza badala ya kushauri.

Inapendeza kumkosoa na kumshauri kiongozi wa dini yako japo haizuiwi kumkosoa wa dini isiyo yako.

4. Ujuzi wa Sheria na Uchumi.

Ajabu Wanasheria walioongea tukaelewa ni wachache sana. Walio wengi ujanja wao unaishia Kisutu.
Wanauchumi wetu ujanja wao unaishia Kariakoo.

Mkataba huu hawauelewi na wakiuelewa hawatuelezi tukaelewa. Huu ni ufa wa hatari.

5. Bunge

Hili lingebinafsishwa kabla ya bandari. Walichoongea bungeni sicho wanachoongea mitaani na kwenye baa. Wanamdanganya rais kuwa wanamuunga mkono wakati wamebeba mishale ya kumwangamiza.

6. Serikali

Mjadala na tabia za watu vimeonyesha serikali hii si ya rais Samia hata kama kaiteua yeye. Hii ni mchanganyiko wa serikali zilizopita. Ina utii uliogawanyika - kiapo kimoja Chamwino na vingine huko makaburini, Msufini, na Butiama.

Serikali bila “Uwajibikaji wa pamoja” ni sawa na genge la wasela. Ufa huu unadai tuanze upya.

7 . Rushwa part 2.

Katika Mjadala wa Bandari tumesikia malalamiko ya rushwa za aina tatu: Wanaonufaika na uzembe wa bandari wakikazana kukwamisha mkataba;

Serikali bila “Uwajibikaji wa pamoja” ni sawa na genge la wasela. Ufa huu unadai tuanze upya.

8. Rais Wetu

Rais SSH ni wetu sote. Ni muhimu kama taifa kumkinga na mipasuko inayotokana na mjadala huu. Kuna maisha baada ya mjadala wa bandari. Yeye analo jukumu la kutuongoza sote na makundi yote mpaka tuvuke. Subira itatufundisha kuliko haraka.

9 . Miafaka yetu

Mjadala huu umejeruhi miafaka yetu na kufukua baadhi ya makaburi. Baadhi ya makaburi tumekuta marehemu hawajaoza.
Katiba, maridhiano, Muungano, maelewano ya kidini, uhuru wa maoni na mamlaka ya wananchi bila bunge ni mambo muhimu sana katika kuziba nyufa.

10. Upinzani wetu

Mjadala unaonyesha aina mpya ya upinzani. Ndani ya chama tawala na serikali kuna upinzani mkali dhidi ya suala la bandari. Hii ni afya kwa nchi lakini hatari kwa utawala. Vyombo vyetu vijifunze kutotumia nguvu kupambana na maoni.

11. Bandari na Mipaka yetu

Bandari ya DSM ni mpaka kama ilivyo Tunduma, Namanga, Sirari, Mtukula na kwingineko. Kuharakisha mizigo bandarini wakati inaenda kukwama mipakani haisaidii. Kero za barabarani na rushwa zake haziwezi kumalizwa na DP World.

Mipaka yetu yote inanuka kwa uzembe, rushwa na ufisadi. Tusisafishe uso (bandari ya DsM) tukasahau makalio (mipaka mingine inayokwamisha mizigo ya nchi za jirani)

Nawashukuru wooote wanaochangia kwa hoja na kutuelimisha tulio wajinga wa sheria, uchumi na mikataba ya kimataifa


Chawa sijui watajibu hoja gani? Zaidi ya matusi tu
Ngoja nikanywe Chai kwanza kisha nitarudi!

Ila tatizo lako Askofu Bagonza ni kuandika kinafiki zaidi.
Nadhani hii pia imekuponza kule Arusha.

Ukiwa kiongozi wa kidini ambaye una wafuasi wengi kuanzia makanisani mpaka mitandaoni.

Umeshindwa nini kuweka baYana kile unachokiona kina kasoro na kutaja vifungu kama wenzio wa TEC.

Unafiki wako Bagonza ndio fimbo inayokuchapa wewe mwenyewe!
 
Na Askofu Bagonza

1. Rushwa

Rushwa bandarini ndiyo imesababisha bandari ifanywe inachofanyiwa. Wakiishapeana rushwa, serikali inakosa mapato, mizigo inachelewa, inapotea, na bandari limekuwa pango la majizi.

Swali ni je, kila penye rushwa tuuze? Tubinafsishe? Tukabidhi sekta binafsi?

2 . Umoja na Utaifa

Mjadala umeonyesha, wanaodai wanaujenga/kuutetea umoja na utaifa, ndio wanaubomoa. Wanaoonekana kuubomoa, ndio wanaujenga. Bandari imeujeruhi umoja na utaifa wetu. Hii ina gharama mbeleni. Tumejuana, tuishi kwa tahadhari.

3 . Udini na Siasa Zetu

Viongozi wetu wana dini zao. Sitamani kuchagua kiongozi asiye na dini. Tatizo tunalo viongozi wa dini. Tunawakosoa viongozi wa dini ileee na kupongeza wa dini zetu. Au tunanyamaza mpaka tupigwe sindano ya kupongeza badala ya kushauri.

Inapendeza kumkosoa na kumshauri kiongozi wa dini yako japo haizuiwi kumkosoa wa dini isiyo yako.

4. Ujuzi wa Sheria na Uchumi.

Ajabu Wanasheria walioongea tukaelewa ni wachache sana. Walio wengi ujanja wao unaishia Kisutu.
Wanauchumi wetu ujanja wao unaishia Kariakoo.

Mkataba huu hawauelewi na wakiuelewa hawatuelezi tukaelewa. Huu ni ufa wa hatari.

5. Bunge

Hili lingebinafsishwa kabla ya bandari. Walichoongea bungeni sicho wanachoongea mitaani na kwenye baa. Wanamdanganya rais kuwa wanamuunga mkono wakati wamebeba mishale ya kumwangamiza.

6. Serikali

Mjadala na tabia za watu vimeonyesha serikali hii si ya rais Samia hata kama kaiteua yeye. Hii ni mchanganyiko wa serikali zilizopita. Ina utii uliogawanyika - kiapo kimoja Chamwino na vingine huko makaburini, Msufini, na Butiama.

Serikali bila “Uwajibikaji wa pamoja” ni sawa na genge la wasela. Ufa huu unadai tuanze upya.

7 . Rushwa part 2.

Katika Mjadala wa Bandari tumesikia malalamiko ya rushwa za aina tatu: Wanaonufaika na uzembe wa bandari wakikazana kukwamisha mkataba;

Serikali bila “Uwajibikaji wa pamoja” ni sawa na genge la wasela. Ufa huu unadai tuanze upya.

8. Rais Wetu

Rais SSH ni wetu sote. Ni muhimu kama taifa kumkinga na mipasuko inayotokana na mjadala huu. Kuna maisha baada ya mjadala wa bandari. Yeye analo jukumu la kutuongoza sote na makundi yote mpaka tuvuke. Subira itatufundisha kuliko haraka.

9 . Miafaka yetu

Mjadala huu umejeruhi miafaka yetu na kufukua baadhi ya makaburi. Baadhi ya makaburi tumekuta marehemu hawajaoza.
Katiba, maridhiano, Muungano, maelewano ya kidini, uhuru wa maoni na mamlaka ya wananchi bila bunge ni mambo muhimu sana katika kuziba nyufa.

10. Upinzani wetu

Mjadala unaonyesha aina mpya ya upinzani. Ndani ya chama tawala na serikali kuna upinzani mkali dhidi ya suala la bandari. Hii ni afya kwa nchi lakini hatari kwa utawala. Vyombo vyetu vijifunze kutotumia nguvu kupambana na maoni.

11. Bandari na Mipaka yetu

Bandari ya DSM ni mpaka kama ilivyo Tunduma, Namanga, Sirari, Mtukula na kwingineko. Kuharakisha mizigo bandarini wakati inaenda kukwama mipakani haisaidii. Kero za barabarani na rushwa zake haziwezi kumalizwa na DP World.

Mipaka yetu yote inanuka kwa uzembe, rushwa na ufisadi. Tusisafishe uso (bandari ya DsM) tukasahau makalio (mipaka mingine inayokwamisha mizigo ya nchi za jirani)

Nawashukuru wooote wanaochangia kwa hoja na kutuelimisha tulio wajinga wa sheria, uchumi na mikataba ya kimataifa


Chawa sijui watajibu hoja gani? Zaidi ya matusi tu
Kuharakisha mizigo bandarini wakati inaenda kukwama mipakani haisaidii. Kero za barabarani na rushwa zake haziwezi kumalizwa na DP World.

Mipaka yetu yote inanuka kwa uzembe, rushwa na ufisadi. Tusisafishe uso (bandari ya DsM) tukasahau makalio (mipaka mingine inayokwamisha mizigo ya nchi za jirani)


👆👆👆👆👆

Masheikh Ubwabwa.. Mnasemaje hapo😡😡
 
Ngoja nikanywe Chai kwanza kisha nitarudi!

Ila tatizo lako Askofu Bagonza ni kuandika kinafiki zaidi.
Nadhani hii pia imekuponza kule Arusha.

Ukiwa kiongozi wa kidini ambaye una wafuasi wengi kuanzia makanisani mpaka mitandaoni.

Umeshindwa nini kuweka baYana kile unachokiona kina kasoro na kutaja vifungu kama wenzio wa TEC.

Unafiki wako Bagonza ndio fimbo inayokuchapa wewe mwenyewe!
Tatizo lako unataka kutafuniwa kila kitu
Maisha ni fumbo
 
Kuharakisha mizigo bandarini wakati inaenda kukwama mipakani haisaidii. Kero za barabarani na rushwa zake haziwezi kumalizwa na DP World.

Mipaka yetu yote inanuka kwa uzembe, rushwa na ufisadi. Tusisafishe uso (bandari ya DsM) tukasahau makalio (mipaka mingine inayokwamisha mizigo ya nchi za jirani)


👆👆👆👆👆

Masheikh Ubwabwa.. Mnasemaje hapo😡😡
Dah! Ila JF ina wajinga aisee!!! Ptuuu
 
Back
Top Bottom