kwa wale wote waliosoma seminari za nyegezi, makoko ,sengerema na pia shule zilizo chini ya jimbo kuu la mwanza kama bukumbi, st joseph girls seminary na sumve naamini mtamkumbuka vema baba askofu anthonius mayalla alipenda sana elimu na aliwekeza muda wake mwingi katika suala hili na zaidi ya yote aliwapenda mapadre wake sana na kuwalea vizuri hivyo kupunguza migogoro ya mapadre na askofu wao ukilinganisha na majimbo mengine kweli tutamkosa sana, natoa pole kwa wafuatao pia,FR R.NKWANDE, FR.KUBEJA, FR.NINDILO WALEI WOTE, WASEMINARISTI WOTE, NA WAAMINI WOTE.MUNGU AMLAZE BABA MAYALA MAHALI PEMA PEPONI AMINA.