Askofu Athony Mayalla wa jimbo la Mwanza
Ahsante Mama Mdogo, sikumfahamu marehemu, wala kanisa lake. Waumini wa Kanisa Katoliki na Tanzania kwa ujumla hili ni pigo; Ajuae Bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu, mgonjwa kuwa salama, leo tunawapa pole. Au hongera, maana ameenda kuliko bora zaidi.Marehemu Askofu Mkuu Anthony Mayalla alikuwa kiongozi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Mwanza
Masanilo,Si lazima ujue kila kitu ...... tupo kwenye majonzi sisi wewe unaleta za kuleta.... Buricheka.... shame on you!