Askari watwangana hadharani

Askari watwangana hadharani

ila kwasababu wote ni makomandoo (askari kwa sakari) ingekuwa ni kitaa ningesema ugomvi haujaisha utashangaa baada ya wiki kikosi kizima kinakuja hapo fumua fumua kila kitu...................sababu stori za mtaani mkimpiga mjeda mmjue baada ya wiki salamu kutoka kambini zitawajia muda wowote.
 
Hujui mambo ya jeshi nadhani hata JKT hukwenda (hujafika advanced level)

Askari yoyote (jwtz polisi,komandoo, n.k) aliekula kiapo akishavaa yale makombati sio raia /mwanachi ni JAMUHURI ile.
Kwa iyo kw akili yako ya kawaida kabisa jamuhuri maana yake nini asee tembea duniani watu wa ajabu mno emu tufahamishe nini maaana ya jamuhuri
 
Kwa iyo kw akili yako ya kawaida kabisa jamuhuri maana yake nini asee tembea duniani watu wa ajabu mno emu tufahamishe nini maaana ya jamuhuri
Wewe uliyeko huko duniani unaweza niambia nini maana ya Federal?

M@zaf@ka!
 
Hao ni (KM) ni sawa na (FFU) au (MP).
Alafu kuwa mwanajeshi au askari wa jeshi lolote haimaanishi ndio unajua kupigana.

Kupigana ni uwezo wa mtu binafsi.
Tunawaogopa bure tu hawa jamaa, muda mwingine zipigwe tu
 
vijeshi vya third world visivyo na discipline wala training

nani kawahi kuona wanajeshi wanapigana mtaani Ulaya?

Hussein Mwinyi ana hati miliki Uwaziri wa Ulinzi?
Kwanini huyu mzee miaka yote yupo tu jeshini kama waziri?
 
Huu ni utovu wa nidhamu na kinyume na maadili ya majeshi yetu,wanaohusika lazima mchukue hatua kujenga nidhamu,Hayo ni ya Rwanda,Congo,Cameroon nk
 
JW huwa hawapigi ngumi ila wao huja na mikanda ya kupigia. Halafu ukimkuta yuko peke yake huwa muoga ila ukimfumua anakwenda kualika wenzake kama 30 hivi na kuvamia mtaa.
Watu wakiwaona hukimbia kwa hofu wakidhani wana silaha .

Kwa upande wa utimamu wa mwili Magereza na FFU wako mbele ya JW.

Ukiondoa commandos, JW wengi hawana mazoezi ya mwili zaidi ya kujificha kwenye magwanda.

FFU na Magereza unakutana na miili ya shughuli na vimo vya minazi tofauti na JW.

Magereza wengi huwa ni wapole wako humble sana hawana dharau na hawanaga sifa za kijingajinga kujiona wao ndo wao kama JW.

Nawasihi vijana mlioko majeshini kumbukeni hizi sio enzi za watu kuishi kwa hisia za kuogopa magwanda ama kutaka uheshimiwe bila ya wewe kuheshimu wenzako.

Dharau na kukosa heshima kwa binadamu mwenzio mwisho wake ni kudhalilika hadharani.

Raia aweza kuwa mwanajeshi na mwanajeshi aweza kuwa raia muda wowote, kwa hiyo hakuna aliye muhimu kuliko mwingine .
 
H
Hili ni la kuchekesha we unasikitikaje?

Matukio kama haya ndio yanafanya mtaa uchangamke....mie huwa nikikuta hivi njiani nasimama hadi mwisho wa show
Halafu nanunua na zawadi kwa mshindi kabisaaaaaaaaaa
 
Mmezidisha chumvi kuwasifia hawa jamaa. Hao watu hatari, sugu wanafikaje huko gerezani? Kumbuka mtu mpaka kufikia kufungwa ni hatua zipi zinakuwa zimepitiwa hapo katikati.

Katika mkondo wa sheria gereza ni chombo cha mwisho kumshughulikia mkosaji.Wapo waliomkamata, amekaa sero za polisi, amepelekwa mahakamani amerudishwa mahakamani mpaka anahukumiwa huyo mtu anakuwa si tishio tena.

Ukiangalia mifumo ya kule gerezani haimfanyi mtu kufanya lolote na akafanikiwa, labda atoke nje ya gereza. Kiujumla mtu aliyeko gerezani kama mifumo ya kule ikifuatwa haimfanyi mfungwa/mahabusu kuwa tishio kwa askari magerezaukilinganisha na anapokuwa nje ya gereza.
Mkuu hizi ni trick za kila mtu kujiona ni balaa, wala usizitilie maanani.
 
Back
Top Bottom