Askari watwangana hadharani

Askari watwangana hadharani

hii ndiyo sababu inayonifanya nisitembee na jinsia ke kuelekea popote pale!!mna mambo mengi kweli.
Hili ni la kuchekesha we unasikitikaje?

Matukio kama haya ndio yanafanya mtaa uchangamke....mie huwa nikikuta hivi njiani nasimama hadi mwisho wa show
 
Waachane wapashe maana tunaambiwaga hata gari likikaa muda mrefu halijawashwa, injini lazima isumbue Siku ya kuwasha linakua la kutegeshea kitonga

Duuh umenikumbusha faza. Ngoja nikaipige moto Leyland CD yangu!
 
hili movie kama lijirudie tena na mimi nikaone.
 
kwa kweli utajikuta upo mwenyewe,manake najua ukimaliza kuangalia ugomvi utaanza na kutafuta chanzo ni nini ukija kushtuka masaa yashakatika ....wanawake salute kwenu.


Nawewe unasimama kushuhudia ugomvi
 
kwa kweli utajikuta upo mwenyewe,manake najua ukimaliza kuangalia ugomvi utaanza na kutafuta chanzo ni nini ukija kushtuka masaa yashakatika ....wanawake salute kwenu.
😂😂😂😂

Yani kama ulijua manake nahakikisha najua chanzo cha ugomvi halafu naondoka hadi watu wapungue pungue ndio naridhika show kuisha
 
Askari magereza haswa wale wa KM Wako vizuri sana kwanza wenyewe wanafanya mazoezi kila siku sasa wakikutana na hawa wa JW wapenda sifa tunaokaa nao huku lazima waite maji mma
 
Tusiokuwa JWTZ na MAGEREZA tunacomment wapi sasa?
 
Mafunzo ya magereza kwa kiwango kikubwa anafunzwa mafunzo ya utimamu wa mwili kuliko JWTZ ambao wao siraha sana... Uwanja wa vita hakuna ngumi za papo kwa papo kule ni kurenga tu na mbinu nyengine za kivita wakati huyu magereza anafunzwa na za kupambana na mfungwa jicho kwa jicho.

By the way wacha wadundane tu wamezidi kujifanya wababe huku kitaa
 
Maeneo ya Buguruni askari wa JWTZ 3 wametwangana na askari magereza

Walianza kurushiana maneno kati ya wale wanajeshi 3 na askari magereza mmoja ndipo wakaanza kurushiana makonde baada ya askari magereza kuona anataka kuzidiwa akapiga simu ndipo baada ya muda mfupi wakatokea majamaa wawili wamevaa T-shirt za kijani nadhani za magereza,,,duh!!

Sikiuamini kama magereza wanajiamini vile kiufupi wameonesha umahiri,wamewachapa wale mabaka baka hadi mmoja nadhani jicho litakuwa limetolewa maana linaonekana kama limechanwa kabisa.

Wametokea traffic wameamua ugomvi na kumchukua mwanajeshi majeruhi hospitality nadhani

Nimesikitika kwanini askari wetu wadhalilishane mbele za RAIA?? Vijana wa kileo wanaoajiliwa maadili hakuna
Hiyo tunaita mechi ya kujipima uwezo.

Safi sana. Maana wanafanya mazoezi hawana pa kufanyia majaribio
 
Hao ni (KM) ni sawa na (FFU) au (MP).
Alafu kuwa mwanajeshi au askari wa jeshi lolote haimaanishi ndio unajua kupigana.

Kupigana ni uwezo wa mtu binafsi.

Kwenye andiko sijaona mahalia alippsema kulikuwa na KM
 
askari magereza lazima wawe vizuri think watu walioshindikana huku mtaani wao ndio wanaishi nao, unategemea watakuwa ni watu wa mchezo mchezo
pia wanashinda na wafungwa.....watu waluokata tamaa.....lazima awe vzr ktk kujihami bila silaha
 
Acha wachapane tuu
Maeneo ya Buguruni askari wa JWTZ 3 wametwangana na askari magereza

Walianza kurushiana maneno kati ya wale wanajeshi 3 na askari magereza mmoja ndipo wakaanza kurushiana makonde baada ya askari magereza kuona anataka kuzidiwa akapiga simu ndipo baada ya muda mfupi wakatokea majamaa wawili wamevaa T-shirt za kijani nadhani za magereza,,,duh!!

Sikiuamini kama magereza wanajiamini vile kiufupi wameonesha umahiri,wamewachapa wale mabaka baka hadi mmoja nadhani jicho litakuwa limetolewa maana linaonekana kama limechanwa kabisa.

Wametokea traffic wameamua ugomvi na kumchukua mwanajeshi majeruhi hospitality nadhani

Nimesikitika kwanini askari wetu wadhalilishane mbele za RAIA?? Vijana wa kileo wanaoajiliwa maadili hakuna
 
Kwa utimamu wa mwili KM wanaweza kuzidiwa na makomandoo wa JW tu. KM wa Magereza wanashinda kwenye madojo na judo kila siku tofauti na vikosi vingine.
 
Ngumi napenda sana sanaaaa, hasa kupiga ngumi kali na za haraka paap alafu unakwepa una move step back una dance unapiga kali kaliii nzito na kukwepa, ngumi mchezo mzuri sana na unaleta heshima sana.. Ujue kukwepa kuliko cobra alafu ujue kupiga haraka kama paka, utagonga watu hata 5 na watakimbia wote
 
Maeneo ya Buguruni askari wa JWTZ 3 wametwangana na askari magereza

Walianza kurushiana maneno kati ya wale wanajeshi 3 na askari magereza mmoja ndipo wakaanza kurushiana makonde baada ya askari magereza kuona anataka kuzidiwa akapiga simu ndipo baada ya muda mfupi wakatokea majamaa wawili wamevaa T-shirt za kijani nadhani za magereza,,,duh!!

Sikiuamini kama magereza wanajiamini vile kiufupi wameonesha umahiri,wamewachapa wale mabaka baka hadi mmoja nadhani jicho litakuwa limetolewa maana linaonekana kama limechanwa kabisa.

Wametokea traffic wameamua ugomvi na kumchukua mwanajeshi majeruhi hospitality nadhani

Nimesikitika kwanini askari wetu wadhalilishane mbele za RAIA?? Vijana wa kileo wanaoajiliwa maadili hakuna
hahahaha nimefurahi sana vijana wa mabaka kuchapwa, wanadhani wao ni kila kitu, TUHESHIMIANE SISI WOTE TUNAJENGA NCHI MOJA TANZANIA! HAMNA BORA WALA ANAYESTAHILI ZAIDI YA MWINGINE.
 
Back
Top Bottom