magereza nao askari? hao ni raia wakakamavu
Ngoja ufungwe ndio utajua
Askari au Nini?
Magereza angalieni kijana analeta jeuri huku maana mnawachekea sana
magereza nao askari? hao ni raia wakakamavu
wapigane tu tumechoka!!Maeneo ya Buguruni askari wa JWTZ 3 wametwangana na askari magereza
Walianza kurushiana maneno kati ya wale wanajeshi 3 na askari magereza mmoja ndipo wakaanza kurushiana makonde baada ya askari magereza kuona anataka kuzidiwa akapiga simu ndipo baada ya muda mfupi wakatokea majamaa wawili wamevaa T-shirt za kijani nadhani za magereza,,,duh!!
Sikiuamini kama magereza wanajiamini vile kiufupi wameonesha umahiri,wamewachapa wale mabaka baka hadi mmoja nadhani jicho litakuwa limetolewa maana linaonekana kama limechanwa kabisa.
Wametokea traffic wameamua ugomvi na kumchukua mwanajeshi majeruhi hospitality nadhani
Nimesikitika kwanini askari wetu wadhalilishane mbele za RAIA?? Vijana wa kileo wanaoajiliwa maadili hakuna
Endeleeni kuwapiga hao baba kanituma mkiingia miziki mingine mtatema nyongoJwtz mnavyopewa sifa na raia basi mnajawa na ubabe,sasa tumeamua tuwaonyeshe kwa kuwatembezea kichapo ili mjue kila mtu ana weledi wa kazi yake,pia mjue kuheshimu kazi za wengine.
Kama wale wanaowasifia wale wavaa suitMkuu hizi ni trick za kila mtu kujiona ni balaa, wala usizitilie maanani.
Nawenyewe wanapenda sana kujipitisha pitishaKama wale wanaowasifia wale wavaa suit

, si umeona siku hizi wanavaa combat mkuu, mbaya zaidi wanavaa ya jangwani

.Wale sifa nyingi na umbeya mwingi sanaNawenyewe wanapenda sana kujipitisha pitisha, si umeona siku hizi wanavaa combat mkuu, mbaya zaidi wanavaa ya jangwani
.
Unaweza usijue kucheza, lakini kama unaenda na beat hutaboa sana, kimbembe vyote kwa wakati mmoja.
Kipo Ukonga, nimekaa kota Ukonga nilikuwa nawaona hao KM ni balaa,FFU hawaoni ndani kwa hizo njemba.Hicho kikosi kiko wapi makazi yake nkajipitishe cku moja
Usichukulie poa wazee wa kikosi maalumu wa magereza.Acha kuchezea FFU mjomba,embu tembelea Ukonga pale ujionee.Wale jamaa siyo watu wazuri wapo wengine walienda Jordan na Marekani kupata mafunzo ya juu.Mafunzo hayo(madini) ndio wanawalisha FFU wote nchini.
Kurutu wa Polisi analala kwenye chandarua chenye dawa wakati kurutu Magereza JWTZ ana six wiki za bila kukutanisha kope.Kwenye basic military training hakuna tofauti.
Tofauti inaanza kuja kwenye kozi za baadae after ile basic military course (ukuruti)
Mkuu hayo majeshi yote tunayaona, tunachopimanisha ni utimamu wa askari wake na mafunzo wanayopata.FFU wanakula kozi wakiwa wanalala kwenye chandarua chenye dawa wakati KM na MP ni no sleep ,Tofauti inaanzia hapo .Sijaandika popote kuwa nani ni zaidi na nani si zaidi.
(KM) hupatiwa mafunzo ya kutuliza ghasia ziletwazo na wafungwa.
(FFU) hupatiwa mafunzo ya kutuliza ghasia ziletwazo na raia tu.
(MP) hutuliza ghasia za askari.
Sasa basi kila kada inaubora katika eneo lake, kujua ngumi ama kutokujua hilo jambo ni la mtu binafsi hakuna pahala panapolazimisha ukitaka kuwa (FFU, MP, au KM) ni lazima ujue kupigana kinachotakiwa ni kuwa na utimamu wa mwili vingine ni ziada.
Mambo ya kusema FFU wanapigwa sijui na KM sijui na MP ni ya kimtaani tu yasiyo na mbele wala nyuma ni sawa na useme MWALIMU WA HISTORIA HAMUWEZI MWALIMU WA FIZIKIA UTAONEKANA FALA
Kutokulala kunamsaidia nini askari zaidi ya kudhoofisha afya yake?Kurutu wa Polisi analala kwenye chandarua chenye dawa wakati kurutu Magereza JWTZ ana six wiki za bila kukutanisha kope.
Magereza wana kikosi ambacho kiko vizuri kuliko FFU wanagonga ngumi hatari sana
Ffu sio xana kivile kwenye utimamu wa mwili labda mabomu ya machoziacha kudanganya FFU ndo top ya wote hao unaowajua
Haaaa huwezi elewa kama hujapitia mafunzo ya uaskari .Kutokulala kunamsaidia nini askari zaidi ya kudhoofisha afya yake?
Jenga hoja tuone
Ulisomea Journalism Jonah?Hili ni la kuchekesha we unasikitikaje?
Matukio kama haya ndio yanafanya mtaa uchangamke....mie huwa nikikuta hivi njiani nasimama hadi mwisho wa show