Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Askari Polisi jijini Dar es salaam emejiua kwa kujipiga risasi kichwani akiwa na wenzake lindoni.
Taarifa za awali zinasema askari huyo kabla ya kuchukua hatua hiyo alikuwa akilalamikia kitendo cha wabunge kujipandiashia posho hadi laki mbili kwa siku, wakati yeye anaipata kwa mwezi, tena baada ya kulala sana nje na mapambano kadhaa ya risasi dhidi ya waharifu.
Source: Radio station
Taarifa za awali zinasema askari huyo kabla ya kuchukua hatua hiyo alikuwa akilalamikia kitendo cha wabunge kujipandiashia posho hadi laki mbili kwa siku, wakati yeye anaipata kwa mwezi, tena baada ya kulala sana nje na mapambano kadhaa ya risasi dhidi ya waharifu.
Source: Radio station