Askari ajiua kwa kujipiga Risasi Mdomoni

Askari ajiua kwa kujipiga Risasi Mdomoni

Duuuuuh R.I.P ila umetuacha na mawazo kujua chanzo cha kujiua mwanawame. IVI kwenye mazishi viongozi wa Dini watasema tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi?
 
Raia wanaacha laanaa sasa police watakoma mmezoea,kupiga raia adi kuwaua bila hatia
 
Waombeeni watu hawa kwani hayo yote ni mapepo tu kwa kisingizio kingine, damu za watu, shida, hasira, nk
Mungu atawasamehe kwamaana wanatimiza kauli ya mheshimiwa,wapigwe tu tumechoka,ila apumzike kwa amani.
 
Je kuhusu pine inayozuia triger kufyatuka ili risasi itoke mbona inaonekana bado imefungwa? au marehemu alipomaliza kujilipua aliinuka na kuifunga ndio akafa?

Hapana mkuu hebu angalia vizuri jinsi bunduki ilivyolala.kwa hapo sio rahisi kwako kujua usalama/safe ya hiyo SAR iko open or closed.kuna hiyo Trigger guard inyoiweka trigger katikati.usalama Wa SAR unapoufungua unakuwa sambamba kabisa na hiyo trigger guard kwa jinsi bunduki ilivyolala kwenye hiyo picha sio rahisi we we kuona.
 
Kuna ujumbe ambao ameacha wa maandishi kuhusu nani hasa anahusika. Amesema kaamua mwenyewe. Bado tu huamini hata maandishi yake?!!!
Ni baada ya mtaalam wa kuchunguza maandishi atakapopelekewa kuchunguza na kuthibitisha maandishi hayo ni ya marehemu
 
Hapana mkuu hebu angalia vizuri jinsi bunduki ilivyolala.kwa hapo sio rahisi kwako kujua usalama/safe ya hiyo SAR iko open or closed.kuna hiyo Trigger guard inyoiweka trigger katikati.usalama Wa SAR unapoufungua unakuwa sambamba kabisa na hiyo trigger guard kwa jinsi bunduki ilivyolala kwenye hiyo picha sio rahisi we we kuona.

Mkuu usalama wa s.a.r. hata uukunjue vipi hauwezi ukagusana au kuenda sawa na triger guard kwamba usiweze kuuona.huwa ukikunjuliwa kuna baki uwazi kama sentimita moja, halafu mkuu wala haina haja ya kukuambia uangalie kwa makini kwa sababu ukitupia jicho tu hapo kwenye triger unaona moja kwa moja kuwa pine imelala haijakunjuliwa.labda tu utafute miwani
 
Kuna walakini. Tusiwe wepesi kuamini amejiua. Hatuwezi jua kuna nini nyuma ya pazia.

Labda kaunganishwa kwenye gridi ya taifa......! Maana angeliandika sababu.....hata kwa kuwatumia nduguze.au kazimwa.!
 
Threesixteen Himself


Nimelia sana kwa comment za wanajf juu ya msiba wa mpendwa wetu. sikupata nafasi jana kuja jamvin kutokana msiba huu lkn nilichokikuta imeniuma na imenifedhehesha sana... eeeem mola.

Mungu awabariki sana wana JF wooote mlioshabikia kifo cha mpendwa wetu sisi sote mwisho wa siku tutarudi mavumbini Ameeen..... haina haja hata mjue nin kisa.

!
!
washarudisha sana ndugu zetu mavumbini, kisha washawatia sana ndugu zetu vilema vya maisha, mimi washanchukulia sana hela mbali na kunywa beer zangu. So rest in Hell stupid polish
 
sjui huwa inakuwaje kuchukua maamzi magum hivo, labda hakuwa na wategemezi kama watoto, maana wenye busara tunaoma tuendelee kudumu ili watoto wakuwe tukiwa hai ili waweze kupata msingi imara wa maisha, utakuta aligundua kuwa ana HIV basi....
 
Mkoroshokigoli unapotaka kuandika jaribu kushirikisha ubongo ktk kufikiri acha kutumia bataks, hizi siasa za mkumbo zitawamaliza
Nshakunote wewe ni polisi,me sina mlengo wowote wa kisiasa ila kwakua nimeandika kile ambacho wewe hakijakufurahisha unahisi nna mlengo wa kisiasa,binafsi nimeanza kuwachukia polisi kabla sijaanza darasa la kwanza na wakat huo hakukua na mfumo wa vyama vingi,ilikua mfumo wa chama kimoja na kwenye kura unawekewa kivuli na picha ya mgombea husika.
Usikariri kuwa kila awachukiaye polisi ana mrengo wa kisiasa,utapagawa
 
Back
Top Bottom