Askari ajiua kwa kujipiga Risasi Mdomoni

Askari ajiua kwa kujipiga Risasi Mdomoni

Mkuu angalia vizuri muundo Wa hiyo silaha na idadi ya risasi zake ilizopakiwa.sio risasi nyingi sana na so nzito sana na ndio maana ikawa silaha nzuri kwa gwaride.inabebeka bila Shida.unajiuliza Ali pull vipi trigger kwa mkono mmoja hilo linawezekana kabisa.pia umbali Wa silaha na target ulikuwa Wa karibu mno.hivyo mzunguko Wa risasi ni Wa kasi sana hiyo tundu LA nyuma ya kichwa litakuwa kidogo sana.hii ni kutokana na utazamaji mzuri Wa CD za vita halisi au uvamizi halisi sio movie.

Je kuhusu pine inayozuia triger kufyatuka ili risasi itoke mbona inaonekana bado imefungwa? au marehemu alipomaliza kujilipua aliinuka na kuifunga ndio akafa?
 
wakichunguza watu watashikiliwa,kama wale walotoaa taarifa ya kutatanisha kuhusiana na dereva alokutwa amefia kwenye kituo cha polisi mwezi ulopita.
 
Kusema ukweli kuna aina ya vifo ambayo huacha majonzi na simanzi sana kwa ndugu na jamaa zetu.

Inaumiza kweli kweli kwa ndugu zake na jamaa zake.

Ulazwe pale ambapo unastahili kamanda.

Dah mkuu hapo mwisho umenikosha sana!! ...alazwe pale anapostahili...Haahaaa...hakuna habari ya RIP wakati ana kesi ya kujibu kwa mola wake...
 
Ha ha ha Mkuu.. Crime Investigation documentaries naona zimekuharibu lol.. Mie baada za kuziangalia sana zile nimejikuta nikizi-treat all murder cases as homicide mpaka zithibitishwe vinginevyo.. Hata hii baada ya kuangalia picha na kusoma maelezo imenipata shaka.. Unless ukipatikana ushahidi madhubuti kama jamaa kweli aliji-RIP, nitakuwa na shaka sana..

Kuna ujumbe ambao ameacha wa maandishi kuhusu nani hasa anahusika. Amesema kaamua mwenyewe. Bado tu huamini hata maandishi yake?!!!
 
Hii picha kwa kweli siamini kwa asilimia mia moja kuwa jamaa kajiua, mimi sio forensic photo reader lakini naona kuna makosa madogo wameyaacha, kuna kitu kinaitwa blood sparter eneo la mauaji, hapa hakuna. ukiangalia marehemu haiwezekani damu ikapanda juu, nilitegemea nione damu imeshuka na mto aliolalia umejaa damu, kwa short distance kama aliyotumia lazima risasi imetoka upande wa pili haiwezekani ikabakia kichwani, kama ingetokea upande wa pili obvious mto ungelowa damu sana. Hata kwa instant death bukundi haiwezi kukaa hapo maana jamaa lazima atajinyonga kidogo labda kama alikuwa na roho ya mende. kama ningekuwa ni polisi ninayechunguza hii kitu nisingekubaliana na maelezo ya hawa jamaa ningetafute sababu nyingine iliyomuua huyu jamaa!

Seconded. . . . .!!!
 
Jinsi alivyolala na hiyo bunduki ilivyolala hapo juu yake inaonekana kabisa huyu kuna asilimia kubwa hajajiua ila ameuliwa na maiti yake kulazwa hapo kitandani (angalia jinsi mikono yake ilivyo kaa) na hata bunduki haielezeki aliweza kutumia mkono gani kujilipua (na kama mdau alivyosema inasemekana ukiangalia hiyo bunduki iko kwenye lock).

Ushauri: uchunguzi ufanyike haki itendeke.
 
Kwa picha iliyowekwa hapo juu ni uongo wa ASILIMIA MIA MOJA 100% kwa vigezo hivi viwili.
1.kwa tulio wahi kutumia bunduki ukiangalia pale kwenye triger(sehemu ya kufyatulia risasi) huwa kuna kitu kinaitwa triger pine au usalama kwa jina rahisi ambacho kinazuia triger isifyatuke bila ridhaa ya mtumiaji kwa hiyo ukitaka kufyatua risasi lazima kwanza ukikunjue sasa ukiangalia kwenye hiyo picha kifaa hicho hakijakunjuliwa sasa huyo marehemu alijilipua vipi?
2.bunduki inayotolewa kwa ajiri ya safari/escort lazima iwe na mkanda wa kumuwezesha mbebaji kubeba kwa usalama zaidi sasa hapo pichani bunduki haina mkanda.

Here we go. . . . . .
 
Hivi ukiwa dereva wa mkuu unaenda unamwambia mwenye dhamana ya kutunza silaha NIPE BUNDUKI NASAFIRI NA BOSS! Sidhani hata kidogo! Ndo maana tunauwawa huku kwa kuwa silaha hizi zinatoka kienyeji tuuuu. Nyumba za watu zinavamiwa tunaambiwa kuwa ni majambazi kumbe silaha zinatoka tuu! Magari yanatekwa kumbe wenye silaha wanachukua tuu zinakotunzwa! Mungu wa sasa ni kijana sana! Hakuna JEHANA ingine ila hapa hapa duniani! Damu! Damu za ndugu zenu mnazozimwaga hakika iko siku zitawamaliza! Na zimeanza!
 
Imethibitishwa kama kweli huo mwandiko ni wa marehemu..?

Kaka hata mimi nimejiuliza sana juu ya utata wa kifo cha huyu bwana mdogo, hasa hapo kwenye huo ujumbe. Kutokana na utata wa hiki kifo, Inawezekana alilazimishwa kuandika Kabla hajauwawa au uliandikwa na mtu mwingine(muuaji). Pumzika kwa amani jirani.
 
Kuna ujumbe ambao ameacha wa maandishi kuhusu nani hasa anahusika. Amesema kaamua mwenyewe. Bado tu huamini hata maandishi yake?!!!

Mkuu! Maandishi wameshachunguzwa na kujua kuwa mwandiko ni wake? Je hakulazimishwa kuandika kabla hawajamRIP?
 
Mod... naomba uondoe picha ya marehemu, marehemu alikuwa mwanajf mzuri..... lkn kwa udhalilishaji uliofanywa humu ni laaana kwa jf. Mod ondoeni picha za marehemu kwa ustaarabu na heshima ya marehemu, matusi mliyomtukana rafiki yetu na ndugu yetu yanatosha.... this is inhuman

alikuwa anatumia jina gani?
 
Imethibitishwa kama kweli huo mwandiko ni wa marehemu..?

Inawezekana aliandika under gun point pia!!!
Inawezekana muandiko umechongwa sababu miandiko fulani ni common sana na inachongeka!!!
Inawezekana pia baada ya tukio watu wamemshikisha karatasi na ukienda kwa prints ukakuta zake tupu juu ya karatasi hiyo!!!

Some boys need to do their job!!
 
Jinsi alivyolala na hiyo bunduki ilivyolala hapo juu yake inaonekana kabisa huyu kuna asilimia kubwa hajajiua ila ameuliwa na maiti yake kulazwa hapo kitandani (angalia jinsi mikono yake ilivyo kaa) na hata bunduki haielezeki aliweza kutumia mkono gani kujilipua (na kama mdau alivyosema inasemekana ukiangalia hiyo bunduki iko kwenye lock).

Ushauri: uchunguzi ufanyike haki itendeke.

Gunpowder smear test kwa mikono yake ni vipi???!!!!
 
Nikiangalia namna marehemu alivyolala, bunduki ilivyokaa, mikono alivyoiweka, na damu iliyotoka; kichwa changu kinapata shida sana kuamini kuwa huyu askari kajiua.
 
Inawezekana aliandika under gun point pia!!!
Inawezekana muandiko umechongwa sababu miandiko fulani ni common sana na inachongeka!!!
Inawezekana pia baada ya tukio watu wamemshikisha karatasi na ukienda kwa prints ukakuta zake tupu juu ya karatasi hiyo!!!

Some boys need to do their job!!

Mkuu ukiangalia crime investigation documentaries hakika utajionea jinsi muuaji anavyoenda an extra mile kujaribu kufuta ushahidi wa jinai.. Bongo na sie tumo..
 
Back
Top Bottom