Askari ajiua kwa kujipiga Risasi Mdomoni

Askari ajiua kwa kujipiga Risasi Mdomoni

aiseeee ktk mambo ambayo huwa sitarajii ni kujiua. Yaan sijawaza ht siku moja na sitakaa niwaze ht iweje.
 
Hivi armoury utaratibu unasema tu nasafiri na fulani nipe silaha unapewa???!!!?

Hata me nashangaa kaka ukiangalia kwa jicho la pili huyu inawezekana ameuliwa. Na kwani kusafiri tu unapewa silaha na risasi 10 juu. Au marehemu kuna dili walitaka kulicheza ila akapotezea
 
Huyu bwana mdogo ni jirani yangu na alikuwa mwanafunzi wangu, kwa kweli nimeumia sana.
 
!
!
habari njema sana hii..................nasubiri kwa hamu kubwa siku nikisikia kova nae kafanya kama huyu bwana.
 
Threesixteen Himself


Nimelia sana kwa comment za wanajf juu ya msiba wa mpendwa wetu. sikupata nafasi jana kuja jamvin kutokana msiba huu lkn nilichokikuta imeniuma na imenifedhehesha sana... eeeem mola.

Mungu awabariki sana wana JF wooote mlioshabikia kifo cha mpendwa wetu sisi sote mwisho wa siku tutarudi mavumbini Ameeen..... haina haja hata mjue nin kisa.
 
Last edited by a moderator:
Eee Mwenyenzi Mungu sikia kuomba kwetu siku zote!

Mungu ataendelea kujibu maombi ya wananchi wako!!!!
 
Hata me nashangaa kaka ukiangalia kwa jicho la pili huyu inawezekana ameuliwa. Na kwani kusafiri tu unapewa silaha na risasi 10 juu. Au marehemu kuna dili walitaka kulicheza ila akapotezea

Mkuu kupewa silaha unaweza ukapewa lakini utata mkubwa uliopo kwenye picha huwezi kukamua triger bila kufungua usalama (kifaa) kama inavyoonekana hapo pichani inamaana marehemu mwanzo alifungua usalama(triger phne) na baada ya kujilipua akakumbuka kufunga usalama,

kitu ambacho hakiwezekani. iangalie hiyo bunduki sehemu ya kufyatulia utaona usalama/triger pine haijafunguliwa inamaana labda watwambie silaha iliyo tumika siyo hiyo
 
Mod... naomba uondoe picha ya marehemu, marehemu alikuwa mwanajf mzuri..... lkn kwa udhalilishaji uliofanywa humu ni laaana kwa jf. Mod ondoeni picha za marehemu kwa ustaarabu na heshima ya marehemu, matusi mliyomtukana rafiki yetu na ndugu yetu yanatosha.... this is inhuman
 
Du! lipumba ameshoot lini movie na hiyo movie inaitwaje? na inahusika vp na hili tukio la askari kujipiga risasi..!?

Alishuti movie anapigwa na Polis...walimpiga kweli kweli...location Temeke. Nawachukia yani...
 
Alishuti movie anapigwa na Polis...walimpiga kweli kweli...location Temeke. Nawachukia yani...

Kuna season moja ya kichina inaitwa Giant yupo mgombea mmoja anaitwa jaymplion alijipeleka kwa watu wa halmashauri ya jiji akapigwa akijifanya kutetea wamachinga wa huko, wale wakamuonea huruma kweli wakampa kura akawa meya, lkn alipokuwa hospitali alikuwa anacheka kwamba kwa mbinu ile atapata kura na akapata, ndio njia lipumba anayotumia ili apate kura, sio hapa tz bhana! ukishindwa kutii amri halali ya polisi utapigwa so wacha apigwe tuu..!!
 
Mbarikiwa Mollel

Na hao wengine wanaoonewa wanataka kura? Huku kwetu uchaguzi wa serikali za mitaa ulirudiwa, Akashinda mgombea wa chadema, Polisi wakawamwagia maji ya pilipili walokuwa wanashangilia ushindi....

hawa nao walikuwa wanataka kura? I hate them, sanaaaa to the extent kuna nimefuta namba za marafiki zangu mapolisi zooote....I don't trust them anymore...Sio watu yani...
 
Last edited by a moderator:
Jamani kama kajiua yeye kashiba ugali.

Hivi ugali na nyama choma, kachumbari pembeni unavyonoga vilee...plus kushushia Pepsi ya bardiiiiiiiiiiii...na jua kali hili...halafu nijiue? Allah forbid....
 
Pole sana IGP kwa kupoteza nguvu kazi. Kijana wako alikuwa bado saana yaani, ila ujiulize IGP ni nini kilimfikisha hapo? Angeweza kuondoka na askari 9 na yeye awe wa 10 ujue! Sasa ni nini hii kitu?

Je tusiwape tena bunduki?

Je tusiwaruhusu wakae na silaha karibu na wakuu wao?

je, ni maanyanyaso ya mkuu wake?

Angalia IGP leo wanajitoa uhai wao, kesho watafyeka kikosi ndo wajilipue. WAPIGWE TUUU.


Ingekua hivyo angeanza na mkuu wake kabla ya kujimaliza.
 
Back
Top Bottom