Hata me nashangaa kaka ukiangalia kwa jicho la pili huyu inawezekana ameuliwa. Na kwani kusafiri tu unapewa silaha na risasi 10 juu. Au marehemu kuna dili walitaka kulicheza ila akapotezea
Huyu bwana mdogo ni jirani yangu na alikuwa mwanafunzi wangu, kwa kweli nimeumia sana.
Acheni chuki kwa polisi kiasi hicho. Kisa mnavunja sheria na kupigwa basi kila mtu anajidai kuwachukia. Na mtapigwa mpaka mkome ,
Ingekua hivyo angeanza na mkuu wake kabla ya kujimaliza.
Acheni chuki kwa polisi kiasi hicho. Kisa mnavunja sheria na kupigwa basi kila mtu anajidai kuwachukia. Na mtapigwa mpaka mkome ,
Nnasemaa. Mwakahuu mtajiuuaaa sanaaa nanafanyamaombi. Yasikutatu triipuuhii muanzekujipiga kwenyemakalio kilasiku mdomoni mdomoni unaninimdmo pigakwenye ndengabasii. Iingienda wajue kweriiii umkwendaa mwanawaneeeuwiiiiii. Ningekutumiaa hatasanda semaaaa nahangaika kuwatoa wenzangu 30 mliowapiga. Mbagaraaa kwetuuu
Samaki mmoja akioza
Nini tena afande.........maisha matamu hivi kweli ndio umeamua hivyo........RIP shemeji...........
Nimelia sana kwa comment za wanajf juu ya msiba wa mpendwa wetu. sikupata nafasi jana kuja jamvin kutokana msiba huu lkn nilichokikuta imeniuma na imenifedhehesha sana... eeeem mola. Mungu awabariki sana wana jf wooote mlioshabikia kifo cha mpendwa wetu sisi sote mwisho wa siku tutarudi mavumbini Ameeen..... haina haja hata mjue nin kisa.