Askari ajiua kwa kujipiga Risasi Mdomoni

Askari ajiua kwa kujipiga Risasi Mdomoni

Hizi bunduki bado zinatumika? Mimi huwa naziona uwanja wa Taifa kwenye gwaride. Nilidhani ni kwa ajili ya gwaride tu.
 
Nnasemaa.

Mwakahuu mtajiuuaaa sanaaa nanafanyamaombi. Yasikutatu triipuuhii muanzekujipiga kwenyemakalio kilasiku mdomoni mdomoni unaninimdmo pigakwenye ndengabasii.

Iingienda wajue kweriiii umkwendaa mwanawaneeeuwiiiiii. Ningekutumiaa hatasanda semaaaa nahangaika kuwatoa wenzangu 30 mliowapiga. Mbagaraaa kwetuuu
 
Akili ikichoka kweli ni ugonjwa hatari sana.Maisha siyo marahisi kwa kila mtu....kilichomsibu ni mtazamo hasi juu ya shida na matatizo aliyokumbana nayo au anayokumbana nayo .....

akili ....mawazo......hisia.......chanya. ...maumzi......kifo shida nini? nani alaumiwe? mwenyewe kajibu hakuna wa kulaumiwa katika kifo chake maana yeye ndio kaamua mwenyewe.

basi hebu tujifunze kupitia huyu marehemu kwa maana Binadamu ametengenezwa na akili nautambuzi kuliko viumbe vyote duniani akapewa uhuru kwenye hiyo akili yake .uhuru wa kufanya maamuzi katika maisha yake, uhuru wa kujitawala na uhuru wa kuchagua njia sahihi....

Vile vile binadamu akawekwa katika mazingira magumu yenye shida hapa na maanisha banadamu au mtu lazima apitie shida kwa namna zozote zile kama vile umaskini,migogoro katika mauhusiano, matatizo ya ajira ,magonjwa na ajali.

Kwa hiyo basi tunapopatwa na shida tuwe na mitazamo chanya ili tuepuke adha ya kifo cha kujitakia
 
Kusema ukweli kuna aina ya vifo ambayo huacha majonzi na simanzi sana kwa ndugu na jamaa zetu.

Inaumiza kweli kweli kwa ndugu zake na jamaa zake.

Ulazwe pale ambapo unastahili kamanda.
 
Hivi armoury utaratibu unasema tu nasafiri na fulani nipe silaha unapewa???!!!?

Mashaka yangu pia yapo hapo.

Kama ni hivo,huyo alikuwa ni dereva tu wa OCD,kusema tu nasafiri na OCD anaomba silaha akapewa. Je angekuja kwa mfano mke wa mkubwa zaidi na kusema anasafiri na big boss si angepewa hata silaha mbili.. !?

Nadani wao wenyewe wanajua taratibu zao za kazi.... Labda bwana armoury alijiridhisha na maelezo ya marehemu...!
 
mimi hisia zangu zinasema huyo wamemkolimba kwasababu ambazo wanazijua wenyewe, zingine zote ni hadithi tu za kutunga!!
 
Dah! Kijana mdogo sana, majonzi sana kwa ndugu na jamaa. Uwekwe panapostahili.
 
Nini tena afande.........maisha matamu hivi kweli ndio umeamua hivyo........RIP shemeji...........

Ha Preta, umeolewa na POLISI? Basi na Wewe li-mme lako lijiue, tumechoka nayo haya!!
 
Masikini sijui nini kimempata mpaka kuamua kufanya haya . Jamani tuwe tunazungumza magumu yetu kwani kwa kuzungumza unaweza kujikuta kumbe hauko peke yako au linalokukabili ni dogo kuliko ya wengine. R.I.P askari
 
Mara zote ukiwa na msongo wa mawazo usipende kukaa peke yako shirikisha watu hakika hutafikia maamuzi mabaya utafarijika sana mwaka Jana chuo kikuu Mzumbe kuna kijana alikuwa anasoma Masters ya Economics insemekana Mke wake hakupenda aende Shule akapiga Semester ya kwanza tu akaingiza ngoma 3 hvyo akadisco ile aibu pia hakuna Faraja kwa mkewe akajiua mifano michache ambayo inapelekea watu kujiua.
 
Hivi armoury utaratibu unasema tu nasafiri na fulani nipe silaha unapewa???!!!?

kuna haja ya kufikiri mara mbili hapa, inaonyesha ni jinsi gani huwa wanatumia hizi risasi kwa matukio mbalimbali kama wanakabidiana risasi kama kienyeji hivyo ka jogoo kwa tetea basi kuna shida.
 
RIP, munyandughu ww ni ----, kama ulienda shule bc kwa sababu fedha za kukusomesha zilikuwepo, other wise hiyo hela bora babako angehonga malaya wake, maiti haitaniwi popote pale duniani,ikiwa hujui kufa, tazama kaburi. Foolish lady

Acha kuzingua, kitimoto we!wangapi wameuwawa na askari ?? acha kujitoa akili !!
 
Back
Top Bottom