Agogwe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2013
- 2,742
- 3,009
Nshakunote wewe ni polisi,me sina mlengo wowote wa kisiasa ila kwakua nimeandika kile ambacho wewe hakijakufurahisha unahisi nna mlengo wa kisiasa,binafsi nimeanza kuwachukia polisi kabla sijaanza darasa la kwanza na wakat huo hakukua na mfumo wa vyama vingi,ilikua mfumo wa chama kimoja na kwenye kura unawekewa kivuli na picha ya mgombea husika.
Usikariri kuwa kila awachukiaye polisi ana mrengo wa kisiasa,utapagawa
akili za kitoto