Hii picha kwa kweli siamini kwa asilimia mia moja kuwa jamaa kajiua, mimi sio forensic photo reader lakini naona kuna makosa madogo wameyaacha, kuna kitu kinaitwa blood sparter eneo la mauaji, hapa hakuna.
Ukiangalia marehemu haiwezekani damu ikapanda juu, nilitegemea nione damu imeshuka na mto aliolalia umejaa damu, kwa short distance kama aliyotumia lazima risasi imetoka upande wa pili haiwezekani ikabakia kichwani, kama ingetokea upande wa pili obvious mto ungelowa damu sana.
Hata kwa instant death bukundi haiwezi kukaa hapo maana jamaa lazima atajinyonga kidogo labda kama alikuwa na roho ya mende. kama ningekuwa ni polisi ninayechunguza hii kitu nisingekubaliana na maelezo ya hawa jamaa ningetafute sababu nyingine iliyomuua huyu jamaa!