Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
.....kuna wanawake ambao seriuos ..they never cheat...
kunao wanao cheat kwa kulipiza kisasi..
...kunao wanao cheat kwa sababu ya kiuchumi au kisiasa..[cheo]..
LAKINI WENGI WA WANAWAKE AMBAO HAWAJAWAHI KU CHEAT ..they have less condussive environment to cheat..sometimes they may have thought of that but due to tight schedules,strict husband,religion beliefs ets...lock them out,but if they get an opportunity ..THEY MAY CHEAT....
...NI wanawake wachache sana wanaoweza kuvumilia mazingira hatarishi ya kucheat..ie assume unafanya kazi kati ya watu watundu au wanaojua art of seduction ...and wanaume wapo sexy...yet kama hutacheat....HAPO NITAKUPA HEKO....NA KAMA KUNA ALIYE KWENYE MAZINGIRA HAYO ...NA BADO AMESIMAMA ...THEN NAMPA HEKO....
KWA sisi wanaume ...AMBAYE ATASEMA HAJAPATA KUTAMANI ..BASI ANAWEZA KUWA MNAFIKI,,...ssisi wakristo tunasema ..."usimtamani mwanamke asiyekuwa mke wako...""....na kitendo cha kutamani tu ..it amount kuwa umefanya...sasa hapo nani atasimama?????..........ndio maana wenzetu wamekazia ili kuzuia wasitamani wanawake wa watu ..wanawasitiri kwa mavazi...
kunao wanao cheat kwa kulipiza kisasi..
...kunao wanao cheat kwa sababu ya kiuchumi au kisiasa..[cheo]..
LAKINI WENGI WA WANAWAKE AMBAO HAWAJAWAHI KU CHEAT ..they have less condussive environment to cheat..sometimes they may have thought of that but due to tight schedules,strict husband,religion beliefs ets...lock them out,but if they get an opportunity ..THEY MAY CHEAT....
...NI wanawake wachache sana wanaoweza kuvumilia mazingira hatarishi ya kucheat..ie assume unafanya kazi kati ya watu watundu au wanaojua art of seduction ...and wanaume wapo sexy...yet kama hutacheat....HAPO NITAKUPA HEKO....NA KAMA KUNA ALIYE KWENYE MAZINGIRA HAYO ...NA BADO AMESIMAMA ...THEN NAMPA HEKO....
KWA sisi wanaume ...AMBAYE ATASEMA HAJAPATA KUTAMANI ..BASI ANAWEZA KUWA MNAFIKI,,...ssisi wakristo tunasema ..."usimtamani mwanamke asiyekuwa mke wako...""....na kitendo cha kutamani tu ..it amount kuwa umefanya...sasa hapo nani atasimama?????..........ndio maana wenzetu wamekazia ili kuzuia wasitamani wanawake wa watu ..wanawasitiri kwa mavazi...