Asiyewahi kucheat na ataje jina kamili humu

Hii topic inafundisha nini jamani??afadhali mngesema asiyecheat aseme hapa ni sababu gani zinazomfanya asicheat na ni effort gani anafanya (if any) kuavoid cheating...hapo ingekuwa educative zaidi, kwa mtazamo wangu mimi

haya mambo ya cheating hayana mwenyewe it can happen to ANYONE, ndio maana hata sisi ambao hatujawahi kucheat tunatakiwa tuwe makini saa zote ili tubakie tulivyo

Sijawahi kucheat katika maisha yangu na namwomba Mungu anisaidie nisicheat kabisa hata huko mbeleni

Ila naomba mniwie radhi jina langu sitoi hapa jamvini, kwa sababu baada ya kuchangia hapa napenda niendelee kuwa huru kuchangia na topic nyinginezo vile vile

Namba ya simu... naomba nisitoe pia, too much risk just for the sake of being congratulated on phone
 
Mimi nilicheat mara MOJA tu, nikanogewa niKAHAMIA jumla.

Tangu hapo sijawahi tena, ninaHOFIA kuHAMIA.

Jina ni lizy, namba ya simu ni O_Sifuri_Ziro.
 
Jina ni lizy, namba ya simu ni O_Sifuri_Ziro.

YALE YALE YALE
 
Quote:
Originally Posted by First Lady
sasa mbona wanaosema hawajawahi hawataji majina na kutoa no zao za simu as muanzilishi
wa thread alivyosema!maana tunaona tu mimi bado ila hayo mengine hayatimizwi!
Hapa kiboko!
inanikumbusha yule mama aliyezini watu wakampeleka kwa YESU!walipoambiwa ambae hajawahi awe wa kwanza kutoa jiwe!du walitoka balu!

Yeye mwenyewe anaoekana mtaalam wa kucheat ndio maana hata jina lake hajataja.

Mimi sijawahi lakini siwezi kuhapiza kuwa sitafanya maana hata hao wanaocheat kabla hawajafanya ungewauliza wangeapa kwa miungu na mizimu yote kuwa hawatacheat.

What do mwe want to achieve from this topic any way????


TUACHE UNAFIKI TUJIREKEBISHE KWANZA WENYEWE OK???!!!!
 
FIST LADY
--------------------------------------------------------------------------------

Quote:
Originally Posted by MAMA MIA
Ukweli halisi wangu ndio huu

naitwa rehema mwanisongole::

Kucheat sikumbuki kabisa ila nakumbuka kufall in lavu tu

tangu hapo niko innoshillings

No ya simu?mbona ukakiuka maagizo uliyoyaweka?

0785 274 685

IKO KWENYE CHARGE BADA YA MUDA UNAKARIBISHWA KUPIGA ITAKUWA ON

ZAIN BABUKUBWA
 
Nasikia EATV kuanzia mwezi Disemba mwaka huu wataanza kuonyesha kipindi cha Cheaters, naona wanaweza kupata pa kuanzia hapa JF...

..watakuwa wanaonesha cheaters ....made in america...au watafanya production hapahapa...maana hata kile cha marekani ni very expensive kuandaa.....south africa wenyewe wana reality tv shows lakini hawana cheaters...sidhani kama mengi ataweza gharamia kama ZE COMEDY yenyewe imemshinda..............na itabidi aanze na yeye na mercy[mkewe]..walivyokuwa wakidanganyana...
 
...sidhani kama mengi ataweza gharamia kama ZE COMEDY yenyewe imemshinda..............na itabidi aanze na yeye na mercy[mkewe]..walivyokuwa wakidanganyana

ZE COMEDY AIKUMSHINDA BALI WAO NDIO WALIOIKIMBIA ULIZA UKU BONGO USISIKIE KELELE ZA THEUTAMU.BLOGSPOT.COM

na itabidi aanze na yeye na mercy[mkewe]..walivyokuwa wakidanganyana

HUU NDIO UMBEA ULIOANZISHA HII THREAD!!!!WEWE MSAFI??????????
 
Ku cheat kutamu asikwambie mtu bwana! Asiyewahi ku cheat nampa pole!!
 
Mimi naapa mbele ya M/mungu kwamba sijawahi kucheat na wala sitegemie kucheat katika maisha yangu yote yaliyobakia, na pia namuomba m/mungu aniwezeshe kusimama katika ahadi yangu.

Jina wa number za simu sitoi cos sijui aliyeomba anampango gani na majina na number zetu.
 
Jina ni lizy, namba ya simu ni O_Sifuri_Ziro.

YALE YALE YALE

MAMA MIA!

Pole sana dada yangu, kweli unatia huruma, I wish I could help further lakini ndio hivyo.

Guess what? Wewe umecheat huko, then mambo yamekuwa ndivyo sivyo, kujitetea sijui ndio kuomba msamaha kwa shemeji yetu, ukadai si wewe wa kwanza kucheat, watu wengi kwenye mahusiano wamecheat/wanacheat, kuulizwa nani/prove, ukaja hapa JF na HII THREAD!

Come on MAMA MIA, Its true, "I was born yesterday, But not Last night". Hakukuwa na foundation yoyote ya thread hii, mwenzetu out of the Blue na Swali si swali, hoja si hoja basi tu kujicover makosa yako, kwa eti kutafuta idadi ya watu waliokwisha cheat for you to justify your case lol, mbaya sana bwana.

Sikiliza bibie, unapoamua kucheat, basi uwe na sababu za msingi na sio kulipiza kisasi na kumbe kuondoka hapo hutaki, ukitimuliwa unakuja na excuses kwamba you are not the first one, neither will you be the last for cheating. Sasa wewe unaenda kucheat ndipo sipo jamani eh?

Kwani mwenzetu hukuchezwa ama kupata pata ushauri na nini eh? Au hata kitchen part hukufanyiwa we ulienda tu tu tuuuuu! Tuanzishe darasa tena jamani mbona makubwa!

Pole sana Mama Mia, usicheat tena bwana sio fresh, unless kama unataka KUHAmia KaMa MimI

Cheating ni mbaya. Unapoamua kuingia kwenye maisha ya ndoa bwana badilika. Utamaliza mabucha nyama ile ile, shauri yako, TUTAKUIMBIA PARAPANDA, usawa wenyewe huu wa Maradhi nje nje, Ohoooo.

Ni hayo tu.
 
Mimi ni mwanamme.Ila kuna msemo fulani wa kiswahili huwa naupenda sana.. kuwa "mwanamme hafumaniwi,akifumaniwa ana halalisha ndoa ya Pili".Mimi kwa kuchiti ndo alwatan.
 
Mimi ni mwanamme.Ila kuna msemo fulani wa kiswahili huwa naupenda sana.. kuwa "mwanamme hafumaniwi,akifumaniwa ana halalisha ndoa ya Pili".Mimi kwa kuchiti ndo alwatan.

Sikubariani na wewe ila
NAKUSIFIA KWA UJASIRI.

Ni atua moja mbele kuelekea PEPONI kwa UKWELI
 
Mwingine ambaye amewahi ku cheat kama mimi tafadhali!!!!! Maana naona hapa watu wanajishaua tu!
 
Dadaake,bado namba ya simu.hongera sana mtu

Kaakake sema nawewe basi ... ila wewe unatisha mtu akifanya mistake ya kuvuna anaweza akakoma ... maana watatu kwa mpigo .. unaua kabisa

Ajabu ni kwamba sina simu ... kama unataka ya mezani ya kazini sema tu ... cheers
 
Kudos to all of you who have sworn that you have never cheated nor will you ever cheat in your life.
For those who are yet to swear, pls consider this:
Are you satisfied that you know what cheating implies in all its parameters? In the old school, cheating in terms of in a relationship, was defined as being sexually unfaithful and a cheater would be considered as someone who is not faithful to a spouse or lover. However, this definition is changing with today's advancement in technology. In today's society, cheating is any conduct in person or online that your partner would deem inappropriate, whether it be physical, emotional, visual or just words on a paper.The internet, cell phones, web cams and text messaging have added what some consider to be a grey area to the word cheating. Cheating isn't strictly a physical act anymore, its becoming something more, its swinging more towards an emotional and technological state. Affairs of the heart have always existed, but there was always some sort of physical evidence to go along with them if they went beyond that, but that is no longer the case.
A few questions:
1.Have you flirtatiously talked over the internet?
2. Have you shared experiences and fantasies online?
3. Have you watched internet porn ?
PMs,SMS and other activities that you may have been doing without your partner knowing and many more...what do u think of them?
 
kucheat ni tatizo, ila tatizo kubwa zaidi ni pale mtu anapotaka kuhalisha kuwa ni jambo la kawaida.
Mara nyingi wale wenye kuwa na matatizo kama hayo hupenda kudhani kuwa dunia nzima iko kama wao, huwa na sauti kubwa sana. Mfano wala rushwa, eti huwezi kuishi bila rushwa, eti mtu ambaye hajawahi kupokea/kutoa rushwa hakuna.
Unajuaje? hata kama hawapo, still ni jambo BAYA. Si la kuigwa.
Mfano vijana wanaoambiwa hawawezi kuvumilia mpaka ndoa, eti watumie kondom, utadhani kweli,
Wako wengi sana ila kwao kujitangaza sio ishu.
mimi najua watu wengi tu ambao kucheat wala sio dili kabisa, japo mimi ni mmoja wao lakini wapo pia wengi sana tu.

Mimi naomba tu waliowahi kucheat kwa namna yoyote wasikate tamaa kwamba basi tena wameshakuwa na label. ni kuchukia tu kiko kitendo na kuendelea mbele na maisha.
 
Back
Top Bottom