Msisahau kwenda kupiga kura jumapili. Hii yote ni janja ya wanasiasa kuwachota mawazo yenu na kuyahamishia upande mwingine. Jamaa anataka kura za huruma kutoka kwa watanzania.Usemi hauna shida kwani ni kawaida ya binadamu unapokuwa kwenye sehemu kama zile kusema manane kama yale kwani inauma sana kwa jinsi mambo yanavyokwenda. Na hasa unapojiweka wewe kuwa ningefanya maamuzi ambayo huyu anashindwa?
Hivyo huyu mbunge kutegeme unaangalia upande gani unaweza kumlaumu na unaweza pia kumsifu kuwa amesema kweli yake hajatukana. Maneno alityotumia niya kawaida sana kwenye jamii. Hila kwa upande mwingine ni wasted maana sasa wamepata cha kusemea kwani walikuwa wameshabanwa mbavu ingeendelea hivyo hivyo ingekuwa poa. Hakuna kuomba msamaha let him go to court and the judge will decide and i hope on his favour.
Dr Feki Kamala amesema ''Dr Slaa ni mbumbumbu wa uchumi''...hajakamatwa tu?
huyo jamaa natakiwa kuomba radhi hadhrani ili kukisafisha chama, mbona jaji tendwa alikosea na kuomba radhi hadharani na mambo yakaisha. We have to be grown ups. we want serious politics and not wasting time and resources.
Nadhani ndugu zangu wapenzi wa ccm na hasa polisi wetu kwa kutojua sheria na kuzingatia kanuni na maadili ya kazi zao mara nyingi wamekuwa wakilitukanisha jeshi la polisi kwa umma. Wameshindwa kujua nafasi yao katika mchakato wa siasa. Ndio maana kule maswa polisi ocd anapigwa na kudhalilishwa tena akiwa ofisini kwake na wanashindwa kuchukua hatua stahili kisa mhalifu ni kada wa chama tawala. Hii ni hatari sana kwa ustawi wa nchi kama yetu. Kama chama tawala wanawapiga polisi na hakuna hatua zinazochukuliwa,je nani atawaheshimu polisi wasiojua wajibu wao? Polisi kazeni buti blia kujali mhalifu ni mwanachama wa chama gani vinginevyo wahuni wote wataingia ccm ili wakiwapiga mshindwe kuchukua hatua.
Hayuko ndani, alihojiwa na kutoka jana hiyo hiyo,, amedhaminiwa na mkurugenzi wa kampein.Kumbe kikwete hakubali kwamba kiswahili ni lugha ya taifa.
Lakini hata akiwa ndani huyo komredi wetu tutampa kura zoote za ndiyo