Asilimia 100% Leo mke wangu kanisaliti

Asilimia 100% Leo mke wangu kanisaliti

tafuta mchepuko wewe acha ujinga dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake na dawa ya moto ni motoo

Hi inanikumbusha jamaa yangu mmoja alikuwa na case kama yako na alichofanya ni kumkabili mkewe aakakataa hisia zote za mumewe kuhusu kukosa uaminifu.Ukweli ulikuja dhihirika baada ya mkewe kugunduliwa in muathirika was ukimwi nasikia walitengana.Ninaweza kukushauri acha kushirikiana naye tendo la ndoa had mpime wote kwa muda wa miezi 6-12 akiwa salama mhamishe muishi pamoja.mke anapokuwa mbali majaribu ni mengi na ni wachache sana wanaoushinda mtihani huo na hasa Dar city.
 
Heshima kwenu wakuuu,

Naandika hapa na maumivu ya moyo makubwa sana mke wangu kipenzi yuko Dar es salaam mimi niko mkoani.

Leo toka mchana mke wangu kanambia simu yake haina charge umeme umekatika lakini kitu cha kushangaza simu zake zote mbili zimezima kwa wakati mmoja toka huo mchana mpaka saizi.

Na kibaya zaidi anaishi Kinondoni kwa Manyanya na kila nikiulizia majirani naambiwa umeme upo toka asubuhi na nimetuma mtu mpaka hapo nyumbani kuna umeme.

Kibaya zaidi nimeingia kwa page yake Fb nimekuta mwanamke anamshambulia mke wangu kuwa aachane na bwana wake.

Iam passing through hell right now na bado simpati mke kwa simu.Maumivu niliyonayo is only God knows.

dedication POza MAumivu by King Zilla
 
Heshima kwenu wakuuu,

Naandika hapa na maumivu ya moyo makubwa sana mke wangu kipenzi yuko Dar es salaam mimi niko mkoani.

Leo toka mchana mke wangu kanambia simu yake haina charge umeme umekatika lakini kitu cha kushangaza simu zake zote mbili zimezima kwa wakati mmoja toka huo mchana mpaka saizi.

Na kibaya zaidi anaishi Kinondoni kwa Manyanya na kila nikiulizia majirani naambiwa umeme upo toka asubuhi na nimetuma mtu mpaka hapo nyumbani kuna umeme.

Kibaya zaidi nimeingia kwa page yake Fb nimekuta mwanamke anamshambulia mke wangu kuwa aachane na bwana wake.

Iam passing through hell right now na bado simpati mke kwa simu.Maumivu niliyonayo is only God knows.

Suala la mke kubanjuliwa wewe lisikupe pressure hiyo ni kawaida lazima aliwe upende usipende, asafiri asisafiri; la maana wewe hakikisha unampa kamuzi ambalo hawezi kulipata popote kama uwezo huo huna kaa kimya kubali matokeo manake hata ukichukua mwingine yatakutokea hayohayo.
 
Hivi ukichepuka unazima Simu?mi nafikiri Hugo ilikuwa zamani sana

huyo atakua anajifunza kuchepuka,kuna mademu anaongea huku anagongwa,"niko kwa shangazi,kafiwa na mjomba wake,"
 
Ukiwa negative lazima kila kitu kiwe negative ila kweli Jana umeme ulikatika aisew
 
Pole sana inauma sana ambaye hayajamkuta hawezi kuelewa vizuri, jipe moyo.
 
Watu hawaishi shida wakati unahangaika kujua kama mkeo kaibiwa wengine hatuwazi kuibiwa tunawaza kutafuta cash ya kulinda vyetu mtu halindwi kwa maneno maneno ya jf acha wivu fanya mambo ya msingi huwezi zuia kuibiwa kama ni wa kuibiwa
 
Na kuna mijitu inajua kukunja yaani mkeo anakuwa kama yule samaki wa kwenye senti tano.
 
Heshima kwenu wakuuu,

Naandika hapa na maumivu ya moyo makubwa sana mke wangu kipenzi yuko Dar es salaam mimi niko mkoani.

Leo toka mchana mke wangu kanambia simu yake haina charge umeme umekatika lakini kitu cha kushangaza simu zake zote mbili zimezima kwa wakati mmoja toka huo mchana mpaka saizi.

Na kibaya zaidi anaishi Kinondoni kwa Manyanya na kila nikiulizia majirani naambiwa umeme upo toka asubuhi na nimetuma mtu mpaka hapo nyumbani kuna umeme.

Kibaya zaidi nimeingia kwa page yake Fb nimekuta mwanamke anamshambulia mke wangu kuwa aachane na bwana wake.

Iam passing through hell right now na bado simpati mke kwa simu.Maumivu niliyonayo is only God knows.

tupe feedback...... au bado hapatikani????
 
mpululu vp feedback leo? dawa yake ni kumpa likizo kijijini kwenu mwaka
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu....yaan sisi ambao bado hatujaoa na hali kama hii bora kuwa single boy.
 
Heshima kwenu wakuuu,

Naandika hapa na maumivu ya moyo makubwa sana mke wangu kipenzi yuko Dar es salaam mimi niko mkoani.

Leo toka mchana mke wangu kanambia simu yake haina charge umeme umekatika lakini kitu cha kushangaza simu zake zote mbili zimezima kwa wakati mmoja toka huo mchana mpaka saizi.

Na kibaya zaidi anaishi Kinondoni kwa Manyanya na kila nikiulizia majirani naambiwa umeme upo toka asubuhi na nimetuma mtu mpaka hapo nyumbani kuna umeme.

Kibaya zaidi nimeingia kwa page yake Fb nimekuta mwanamke anamshambulia mke wangu kuwa aachane na bwana wake.

Iam passing through hell right now na bado simpati mke kwa simu.Maumivu niliyonayo is only God knows.
Wewe.akilyako ulijua uko.mwenyewe..
??ulipokiri. Shda na raha ulihisi sikuzote raha ndio maana wakaweka na shdaa ..ndio hizo gawaneni.shda na raha
 
Hi inanikumbusha jamaa yangu mmoja alikuwa na case kama yako na alichofanya ni kumkabili mkewe aakakataa hisia zote za mumewe kuhusu kukosa uaminifu.Ukweli ulikuja dhihirika baada ya mkewe kugunduliwa in muathirika was ukimwi nasikia walitengana.Ninaweza kukushauri acha kushirikiana naye tendo la ndoa had mpime wote kwa muda wa miezi 6-12 akiwa salama mhamishe muishi pamoja.mke anapokuwa mbali majaribu ni mengi na ni wachache sana wanaoushinda mtihani huo na hasa Dar city.

Mtendee mwenzako upendavyo kutendewa naye. Mleta mada guko aliko hajachepuka? Au mkuki kwa nguruwe. Km wote mnashindwa kuhimili kuishi mbalimbali jadilini uwezekano wa kuishi pamoja Dar au huko alipo mleta mada
 
Back
Top Bottom