Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 3,177
- 2,547
Usimuulize kitu, aga kazini fanyie suprize kesho. Kama hajajisuicide kwa uongo wake.
Hapo nadhani tayari kichwani una movie yote jinsi anavyobanjuliwa kitandani, aisee pole sana jikaze fanya utafiti halafu ufanye maamuzi magumu kiongozi halafu kinondoni sio mahala pa kuacha mke
Wewe kimaumbile ni mwembamba sana lakini mtu akikuangalia una mwili wakunenepa ila umegoma.
Halafu vimifupa juu ya mashavu vimekutoka. Pia macho yako yapo kama unakerwa na moshi.
Bisha kama haupo hivyo! !
Huo ndio muonekano wa Mtu mwe wivu wa kimapenzi uliopitiliza. Wengi hawanenepi sababu ya hisia tu.
kaka mpigie jirani yako umuulize je mkewangu yupo home akikujibu hayupo ujue ameenda kwenye mechi ya ndondo.
Heshima kwenu wakuuu,
Naandika hapa na maumivu ya moyo makubwa sana mke wangu kipenzi yuko Dar es salaam mimi niko mkoani.
Leo toka mchana mke wangu kanambia simu yake haina charge umeme umekatika lakini kitu cha kushangaza simu zake zote mbili zimezima kwa wakati mmoja toka huo mchana mpaka saizi.
Na kibaya zaidi anaishi Kinondoni kwa Manyanya na kila nikiulizia majirani naambiwa umeme upo toka asubuhi na nimetuma mtu mpaka hapo nyumbani kuna umeme.
Kibaya zaidi nimeingia kwa page yake Fb nimekuta mwanamke anamshambulia mke wangu kuwa aachane na bwana wake.
Iam passing through hell right now na bado simpati mke kwa simu.Maumivu niliyonayo is only God knows.
tafuta mchepuko wewe acha ujinga dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake na dawa ya moto ni motoo